L Lady Mwali Senior Member Joined Nov 15, 2018 Posts 147 Reaction score 333 Jan 10, 2022 #1 Huyu jamaa ana akili nyingi sana.IQ yake si ya kawaida.
Jasmoni Tegga JF-Expert Member Joined Oct 28, 2020 Posts 12,624 Reaction score 24,751 Jan 10, 2022 #2 Kwamba wananchi wanaojielewa wanampatia ALTIMATAMU Bi Mikopo kwamba mwisho wake ni 2025, right?
ndege JOHN JF-Expert Member Joined Aug 5, 2015 Posts 21,643 Reaction score 51,642 Jan 10, 2022 #3 Me sijaelewa naombeni mnieleweshe
cheetah255 JF-Expert Member Joined Oct 19, 2017 Posts 1,376 Reaction score 2,393 Jan 10, 2022 #4 Huyo ni chura aina ya magambalala mwenye makazi yake jalalani ni smart sana hawezi liwa na jogoo licha ya koo kwa urahisi namna iyo.
Huyo ni chura aina ya magambalala mwenye makazi yake jalalani ni smart sana hawezi liwa na jogoo licha ya koo kwa urahisi namna iyo.
GangMkush Senior Member Joined Nov 15, 2021 Posts 163 Reaction score 278 Jan 10, 2022 #5 Hiyo picha nimeiona ikichorwa kwa mara ya kwanza mwaka 2007 tukiwa Green Acres A level na jamaa mmoja nimemsahau jina. Hiyo akili unayoisema kubwa sijui ni ipi.
Hiyo picha nimeiona ikichorwa kwa mara ya kwanza mwaka 2007 tukiwa Green Acres A level na jamaa mmoja nimemsahau jina. Hiyo akili unayoisema kubwa sijui ni ipi.
Dr wa Kaliua JF-Expert Member Joined Sep 20, 2020 Posts 1,634 Reaction score 3,833 Jan 10, 2022 #6 Never Give up! Usikubali kupoteza matumaini kirahisi.