Masoud Kipanya Vs Said Michael: Nani mkali wa Katuni?

Masoud anafikirisha.....Michael yupo direct hutumii nguvu kupata ujumbe.

Masoud mbabe.
 
Ingekuwa kura, yangu yaenda kwa Masoud. Anafikirisha zaidi (kitu muhimu sana) ila kwa leo hii Huyu mwingine angeweza kushinda. Wa leo wengi hawataki "ujinga" ya nini umfikirishe na wakati kuna vilivyo direct?
 
Leta na Gado tupate platform ya kudadavua vizuri
 
Diamond platnumz. Chibu aka simbAaaaaaaaaninoma uyu bwana unaambiwa
Ukiwa na mapenzi ya hivi huu unakua uzuzu, mwishoe hata mwandani wakp utakuwa unamwita dimondiiiiiiiiiiii
Hikii kizazi kisaidiwe jaman kabla hakijapotea moja kwa moja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…