DOKEZO Massana Hospital Mbezi Beach mnalazimisha rushwa

DOKEZO Massana Hospital Mbezi Beach mnalazimisha rushwa

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

maroon7

JF-Expert Member
Joined
Nov 3, 2010
Posts
11,311
Reaction score
15,640
Inashangaza kwa hospital kama hiyo kuwa na wahudumu wababaishaji ambao wanatengeneza mazingira ya rushwa kwa kila namna. Next time nitawataja kwa majina msipojitekebisha.

Mtu anaenda na kadi ya bima Daktari anamwambia kipimo flani hakipo kwenye bima nipatie elfu 30 nikusaidie. Baada ya mgonjwa kudai hana hiyo pesa kilichofuata ni kumsumbua kuhakikisha anashinda hospital hapo kuanzia asubuhi hadi jioni mnamzungusha.

Anaandikiwa kipimo kimoja,anapima anarudisha majibu kwa Daktari,anaandikiwa kipimo kingine akapime, hadi mara tatu ilimradi tu kumkomesha kisha hana hela ya kuhonga. Haya kwenye dawa the same, anaambiwa dawa flani hazipo kwenye bima atoe pesa,akatoa.

Baadae akaenda pharmacy anaambiwa kitu kinginge very contradicting na alichoambiwa kuhusu dawa na hiyo bima.

This is unprofessionalism of the highest order, mnawatoa wapi madaktari wapuuzi kiasi hicho? Luckily nilikua nimesafiri ningekuja kuwawashia moto hapo msirudie tena huo upuuzi.
 
Check na hospitali nyingine, ukanda huo ipo Rabansina hospital, kwa nini ulazimishe Masana?
 
Tatizo kuu pale masana lingine ni kupoteza mda unaenda saa nne unatoka saa 11, wakati tatoxo ni dogo sana hasa maabara wako slow sana sijui hawalipwi? wakati foreni sio kubwa kivile.
 
Tatizo kuu pale masana lingine ni kupoteza mda unaenda saa nne unatoka saa 11, wakati tatoxo ni dogo sana hasa maabara wako slow sana sijui hawalipwi? wakati foreni sio kubwa kivile.
Tatizo la laboratory kutumia muda mrefu lipo hata Dar group ambayo kwa sasa ipo chini ya Jakaya Kikwete Cardiac institute.

Sijajuwaga shida ni nini hasa.
 
Tatizo la laboratory kutumia muda mrefu lipo hata Dar group ambayo kwa sasa ipo chini ya Jakaya Kikwete Cardiac institute.

Sijajuwaga shida ni nini hasa.
Inategemeana na kipimo unachopimwa kama ni hizi rapid test ni chap tu ila kama ni vipimo hivi vingine lazima ukae sio rahisi rahisi kithibisha ugonjwa wa mtu,lazima kichwa kitulie kwanza
 
Labda hapo kwenye kuzungushwa unapaswa ulaum ila ujue sio ukiwa na bima lazima upimwe pimwe tu, Maana hawa watu wabima kwa kukata Pesa nakukataa baadhi ya vipimo hawajombo na ndiomaana Mgonjwa wako akaambiwa hivo
 
Tatizo la laboratory kutumia muda mrefu lipo hata Dar group ambayo kwa sasa ipo chini ya Jakaya Kikwete Cardiac institute.

Sijajuwaga shida ni nini hasa.
Muda wa majibu huwa unategemea na kipimo cha kitu kilichopimwa.hata maabara wenyewe wanakuambia kabisa.
Na ni hosptal zote hata ulaya.tuwe waungwana na subra
Kuna vipimo vya fasta mimba au Hiv .
 
Labda hapo kwenye kuzungushwa unapaswa ulaum ila ujue sio ukiwa na bima lazima upimwe pimwe tu, Maana hawa watu wabima kwa kukata Pesa nakukataa baadhi ya vipimo hawajombo na ndiomaana Mgonjwa wako akaambiwa hivo
Wengine hawaelewi anajua akiwana bima anatibiwa kila kitu
Mbaya zaidi bima.yenyewe sasa
 
Inashangaza kwa hospital kama hiyo kuwa na wahudumu wababaishaji ambao wanatengeneza mazingira ya rushwa kwa kila namna. Next time nitawataja kwa majina msipojitekebisha.

Mtu anaenda na kadi ya bima Daktari anamwambia kipimo flani hakipo kwenye bima nipatie elfu 30 nikusaidie. Baada ya mgonjwa kudai hana hiyo pesa kilichofuata ni kumsumbua kuhakikisha anashinda hospital hapo kuanzia asubuhi hadi jioni mnamzungusha.

Anaandikiwa kipimo kimoja,anapima anarudisha majibu kwa Daktari,anaandikiwa kipimo kingine akapime, hadi mara tatu ilimradi tu kumkomesha kisha hana hela ya kuhonga. Haya kwenye dawa the same, anaambiwa dawa flani hazipo kwenye bima atoe pesa,akatoa.

Baadae akaenda pharmacy anaambiwa kitu kinginge very contradicting na alichoambiwa kuhusu dawa na hiyo bima.

This is unprofessionalism of the highest order, mnawatoa wapi madaktari wapuuzi kiasi hicho? Luckily nilikua nimesafiri ningekuja kuwawashia moto hapo msirudie tena huo upuuzi.
Wewe ni mshamba sio kila kipimo kiko kwa bima mtu anasema mpe 30 akusaidie maneno mengi kwani ukifa situtatumia zaidi ya hiyo
 
Inashangaza kwa hospital kama hiyo kuwa na wahudumu wababaishaji ambao wanatengeneza mazingira ya rushwa kwa kila namna. Next time nitawataja kwa majina msipojitekebisha.

Mtu anaenda na kadi ya bima Daktari anamwambia kipimo flani hakipo kwenye bima nipatie elfu 30 nikusaidie. Baada ya mgonjwa kudai hana hiyo pesa kilichofuata ni kumsumbua kuhakikisha anashinda hospital hapo kuanzia asubuhi hadi jioni mnamzungusha.

Anaandikiwa kipimo kimoja,anapima anarudisha majibu kwa Daktari,anaandikiwa kipimo kingine akapime, hadi mara tatu ilimradi tu kumkomesha kisha hana hela ya kuhonga. Haya kwenye dawa the same, anaambiwa dawa flani hazipo kwenye bima atoe pesa,akatoa.

Baadae akaenda pharmacy anaambiwa kitu kinginge very contradicting na alichoambiwa kuhusu dawa na hiyo bima.

This is unprofessionalism of the highest order, mnawatoa wapi madaktari wapuuzi kiasi hicho? Luckily nilikua nimesafiri ningekuja kuwawashia moto hapo msirudie tena huo upuuzi.
Cc Pascal Mayalla
 
Mie huwa ninatibiwa hapo mara zote. Sehemu mbalimbali wamebandika namba za simu ambazo kama una shida au umekutana na changamoto basi ukipiga namba hizo unasaidika vizuri tu. Ingelikuwa vema ukapata namba hizo afu ukamtaja huyo anaekwamisha utoaji wa huduma ili aweze kuwajibishwa badala ya kuharibu taswira ya hospitali.
 
Back
Top Bottom