Massau Bwire anasubiri adhabu ya TFF kwa waropokaji wa utopolo sc

Massau Bwire anasubiri adhabu ya TFF kwa waropokaji wa utopolo sc

njaakalihatari

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2019
Posts
4,081
Reaction score
8,671
Kazi kwenu Tff piga faini malopolopo hayo ya utopwinyo

Screen Shot 2022-02-09 at 8.00.28 PM.png
 
Mwenyekiti wa simba Mangungu, aliwashutumu TFF na bodi ya ligi kuwa wamepanga kuipa Yanga ubingwa msimu huu! Naye anastahili adhabu
 
Mwenyekiti wa simba Mangungu, aliwashutumu TFF na bodi ya ligi kuwa wamepanga kuipa Yanga ubingwa msimu huu! Naye anastahili adhabu
Yaani wewe ndo uko mbali na dunia.. mangungu alishaadhibiwa kitambo sana na alilipa.. sasahivi tunasubiria vp kama tff wako fair je watatoa adhabu kwa wasemaji wa utoh?
 
Back
Top Bottom