njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
Alishaadhibiwa na amelipa faini.Mwenyekiti wa simba Mangungu, aliwashutumu TFF na bodi ya ligi kuwa wamepanga kuipa Yanga ubingwa msimu huu! Naye anastahili adhabu
Yaani wewe ndo uko mbali na dunia.. mangungu alishaadhibiwa kitambo sana na alilipa.. sasahivi tunasubiria vp kama tff wako fair je watatoa adhabu kwa wasemaji wa utoh?Mwenyekiti wa simba Mangungu, aliwashutumu TFF na bodi ya ligi kuwa wamepanga kuipa Yanga ubingwa msimu huu! Naye anastahili adhabu
Adhabu hukuisikia kweli mkuu?Mwenyekiti wa simba Mangungu, aliwashutumu TFF na bodi ya ligi kuwa wamepanga kuipa Yanga ubingwa msimu huu! Naye anastahili adhabu