Mimi nimesema kwa ubora AINA ZOTE MBILI ALIZO CHANGUA NI NZURI, ila kwa hapa Tanzania linalofaa zaidi kwa mjasiriamali ni lile linalopatikana spare kwa urahisi.
Jamiiforum ukiomba ushauri wa kununua gari, utapeqa ushauri wa speaMimi nimesema kwa ubora AINA ZOTE MBILI ALIZO CHANGUA NI NZURI, ila kwa hapa Tanzania linalofaa zaidi kwa mjasiriamali ni lile linalopatikana spare kwa urahisi.
Kijana Soma hiyooooo....
Usichangaje habari; Mtoa mada ametoa choice mbili tu ambazo zote ni nzuri zina nguvu, uimara na pengine niseme Massey alitumia babu hata mjukuu anatumia. Nimeangalia spec zake sijaona cha tofauti sana hivyo nikaonaJamiiforum ukiomba ushauri wa kununua gari, utapeqa ushauri wa spea
Sent using Jamii Forums mobile app
horse power ngapi kwahiyo mil 17 ? MF 390 4WD ,75Hp mnauzaje ? Na ni used jutika Ui ?Tractor za Ford na Massey furguson Tuone Tunazo kuanzia kubwa six cylinder heavy duty 42m
Mpaka ndogo 4cylinder heavy duty 17m karibuni 0762612213
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa ardhi ya kikwetu haijalishi uko kigoma au dar kwa kuanza chukua kuanzia hp75 4wd.Mkuu hapo juu MF 390 , 4 WD,75 HP mnauzaje used ? Na zinakuwa kutoka UK ? Tafadhali mwenye uzoefu na hizi trekta ,ni trekta ipi ya MF 390, 4WD kutumia kwa ardhi ya maeneo mengi inatakiwa ya HP ngapi ili km mjasiliamali unayeanza ikupe faida ya kulima mashamba yako na mashamba ya watu wengine kwa malipo ? Mwenye uelewa na hili naomba anifahamishe tafadhali.
John Deere ya ukweli mpya ya HP75 huwezi kuipata chini ya milioni 80 Tsh.Kwa ardhi ya kikwetu haijalishi uko kigoma au dar kwa kuanza chukua kuanzia hp75 4wd.
Kingine kwangu kuliko ninunue mtumba cash bora ninunue hata john deere 75hp toka lonagro kwa mkoppo kwa kutanguliza asilimia 35 then inayobaki nalipa kwa miaka mitatu
Nakubaliana na weww kuhusu 5075e ambayo ndo yanatangazwa na lonagro. Kwa ujumla zile tractor zimetengezwa kwa ajili ya kushindana na kubota maana hapo zaman john deere alikuwa kawekeza sana kwenye kuanzia hp 80 ambapo kubota alikuja akampiku. Lakin wanamatoleo mengine yanayotengezwa marekani ambalo moja tu linaanzia 56396usd na ujumla kwa sasa hatujawa na uwezo wa kununua tractor original toka ulaya iwe massey,case,valta, deutz na wengine weng, maana hata hao massey ferguson zao za ulaya tu si chini ya usd 40000. Hii ni bei ya dealer ambayo anatakiwa auze.John Deere ya ukweli mpya ya HP75 huwezi kuipata chini ya milioni 80 Tsh.
Hizo John Deere za HP75 za Lonagro za china/ india/pakistani, hata ukipewa kumi mpya, au ukipewa used massey ferguson ya uk ya hp 75 moja, basi chukua massey ferguson.
Tractor za Ford na Massey furguson Tuone Tunazo kuanzia kubwa six cylinder heavy duty 42m
Mpaka ndogo 4cylinder heavy duty 17m karibuni 0762612213
Sent using Jamii Forums mobile app
Cheki na New Holland pia iko vizuri. Nililima na Massey vs New Holland, New Holland inafunika mpaka raha jani lotee linazikwaNina option ya kukopa tractor mojawapo kati ya haya mawili. Yote ni used, yapo Denmark. Wajuzi wa matrekta na wazoefu wa kilimo, naombeni ushauri, kati ya trekta hizo mbili, nichukue ipi ili niweze kulimia bongo?
Tafadhali: Ni kati ya model hizo mbili tuu. Maana watakuja wasukuma utawasikia, oooh, tafuta john deer, wengine ooh, kamata swaraji.
Ni kati ya MF 290 4WD na FORD 8210, nayo pia ni 4WD,
Mf 390 made in uk mnayo? Mnauzaje?Tractor za Ford na Massey furguson Tuone Tunazo kuanzia kubwa six cylinder heavy duty 42m
Mpaka ndogo 4cylinder heavy duty 17m karibuni 0762612213
Sent using Jamii Forums mobile app