Mastaa 7 Bongo wasio na skendo

huyo team Wema ni Shoga ukibisha na wewe Shoga mwenzie.

Mtoto wa kiume unapigaje picha umejibinua namna hii.
 
Inasemekana wema hajawai kua na rafik straight
 
Naona karibia hao wote sana skendo za kupumuliwa kisogoni na mwanaume kasoro huyo maji mengi skendo zake afadhari kidogo
 
Hawana skendo au skendo zao hazijakufikia ukazijua?

Nini kipimo chako cha kuyasema hayo?

Je wahalifu ni wale ambao taarifa zao zipo jera tu?
Au mahakamani au vituo vya polisi?

Ni wezi wangapi wako uraiani
Ambao taarifa zao hazipo kwenye vyombo vya dola?

Suspicion will gives you precautions!

Tafakari!
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ hivi nyie mmemuelewa kweli mtoa mada? Hebu angalieni hao mastar aliowaweka ni jinsia gani na skendo zao kubwa ni zipi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…