Nakosa neno sahihi la kukuambia ili kukudhihirishia ni kiasi gani umenifurahisha! Ahsante.....mtoto wa haramu hata ukimficha vipi kwenye chupa...yupo radhi ajiviringeviringe mpaka chupa idondoke ivunjike ili tu aonekane
Hilo nalo swali, mie toka namjua kiba sijawahi kuona gari lake au hana yule?? Mmh!! Au usikute anaendesha vits yule
Ngoja tuone team yake watajibuje wasipojibu ujue hana maana kwenye listi hayupo duuuuuuuu mbutananga!!!
Usikute hana na yeye, maana mie nilivyo mbea ningepata tu taarifa, maskini sasa kutoa kote airtel kula ata gari la kuzugia hana?? Mmh!! Warumi nae mdomo huu utaniponza khaa!! Mdomo koma mdomo utaniletea balaaah!! Oooh mie simoo
Hhhhahaaaaàaaaaaaa tutasutwaa sieee 🔜
Nimemsahau binamu yangu Dinazarde anayemiliki Toyota IST promotion ya ahsante Airtel
Hivi Mrisho Mpoto naye ana gari? Si hua anatembea kwa miguu tena peku akijidai mzalendo!
Mwenzangu kuna mtu kanifuata pm kanisalimia vzur, akaniomba kitu nikamwambia we uliza tu, akasema eti anataka kuniona halafu yupo serious yani nimecheka khaa!!! Nikamwambia utaniona tu usijali...yani watu wanatamanije kuniona? Inabid siku niweke kiingilio uwanja wa taifa watu waje kuniona, najua wambea wenzangu watajaa ahahah ahaha
Diamond anamiliki BMW ya $62850=mil 150....
Lady JD anamiliki Range Rover Evoque $60000=mil 100.hii ni hesabu ya wapi warumi?
Mwenzangu kuna mtu kanifuata pm kanisalimia vzur, akaniomba kitu nikamwambia we uliza tu, akasema eti anataka kuniona halafu yupo serious yani nimecheka khaa!!! Nikamwambia utaniona tu usijali...yani watu wanatamanije kuniona? Inabid siku niweke kiingilio uwanja wa taifa watu waje kuniona, najua wambea wenzangu watajaa ahahah ahaha
LADY JAYDEE anamiliki Nissan Murrano yenye thamani ya 60 million.WEMA anamiliki Nissan Murrano ya kupewa yenye thamani ya 36 million, mbona gari moja thamani tofauti?
Ulikuwa unatakaje labda? Kazi umbea tu kubwa zima