pirabiriani
Member
- Mar 1, 2012
- 79
- 16
wakati ww unawafuatilia wao wenzako wanafanya yao, nawe fanya yako kijana
mkuu wote hao vilaza tu hawana jipya na ukifuatilia ni kama kakikundi fulani ka watu wanaojuana na uchafu wao, anza na wema,penny,mond. wote mle mle ovyoo kabisa