Mastaa wasiopata hadhi wanazostahili Tanzania

Dah lost boys washakuja Bongo ?? Ilikua mwaka gani ?
Halafu wamepotea kama jina lao ,majina kweli huumba

Nikimsikiliza Mr Cheeks kwenye nyimbo zao Me and my crazy world na rising to the top ,ananipa raha sana
 
Dah lost boys washakuja Bongo ?? Ilikua mwaka gani ?
Halafu wamepotea kama jina lao ,majina kweli huumba

Nikimsikiliza Mr Cheeks kwenye nyimbo zao Me and my crazy world na rising to the top ,ananipa raha sana
Lost Boyz mwaka 98' kama sijakosea walikuja bongo wakapiga concert wakitokea Nairobi na Sugu (Mr. II) alibahatika kupanda stejini nae akafanya mambo.
 
Lost Boyz mwaka 98' kama sijakosea walikuja bongo wakapiga concert wakitokea Nairobi na Sugu (Mr. II) alibahatika kupanda stejini nae akafanya mambo.
Back stage moshi ulikuwa unashindana kwenda hewani sijui kilikuwa cha arusha kile!
 
SAHARA MEDIA GROUP
Kiss fm.Hiki n kituo bora kabisa cha radio kinachopiga muziki mzur mzuri mf wanapiga Hip hop&R&B kuliko kituo chochote hapa Tz.Wanao DJs wakal wakiongozwa na baba lao dj maliz.M kwangu wanastahili heshima kwa kuupush muzik mzur na unasonga mbele kinavyonisikitisha n jinsi wananzengo wanavokiunderatte hk kituo.
Radio Free Africa(RFA)
Wamefanya vizur sana katikati ya miaka ya 90 na mwanzon miaka ya 2000 wameweza kuwaibua watangazaji maarufu kwa sasa hapa Tz nawazungumzia Godwin Gondwe(double G) fredwaa,Sandu George,Sky walker,PJ,Burhan mhuza na wengineo wengi.Wanastahil heshima kwa kutengeneza majina ya watangazaj wakubwa hapa Tanzania
 
Wengine bado.... Ila Sugu & Pr jay & mtoto wa dandu lkn hao wengine bado sana
 
Dah lost boys washakuja Bongo ?? Ilikua mwaka gani ?
Halafu wamepotea kama jina lao ,majina kweli huumba

Nikimsikiliza Mr Cheeks kwenye nyimbo zao Me and my crazy world na rising to the top ,ananipa raha sana
Nadhani ilikuwa mwishoni mwa miaka ya 90 manake nakumbuka bado nilikuwa wa kusoma halafu full kujifanya mwana - hip hop! Kama sikosei, Lost Boys walikuwa na show kama sio Kampala basi Nairobi-- Sugu akaunga tela, na kiroho safi jamaa wakaunga hadi Dar!
 
KGT WA G RECORDS: Ali kiba,Pasha na wasanii wengi wa bongofleva wamepitia kwenye mikono ya produzya huyu lakini mpaka leo hajawahi kupata hadhi
KGT heshima kwake manake alikuwa ndo kimbilio la underground na kawatoa wengi sana! Ilikuwa ukifika pale studio lazima ukute nyomi la underground wenye kiu ya kutoka.

Lakini kwa nyongeza, huwezi kumtaja Marehemu Ben Mtobwa halafu ukamwacha Marehemu Elvis Musiba! I pay much respect to these men manake, hususani kwa Musiba, ndie alinifanya niingie kwenye fiction writing tangu nikiwa O Level na kuanza kula vijisenti vya kuchapishiwa story magazetini! Enzi zile ilikuwa nikilipwa zile 50K lazima skonga wamkome bosi mtoto!!

Last but not least, ikiwa mtu anaheshimu muziki wa kizazi kipya basi hawezi kusahau kutoa heshima zake kwa Mike Mhagama! Back then huu muziki ilikuwa ni full Umarekani... hata messages zake zilikuwa za kimtoni zaidi kuliko kibongo bongo-- zilikuwa ni enzi ambazo ilikuwa ni kawaida sana kusikia mshikaji kacheza heko ada ya shule kaingia nayo studio! Hiyo track ikitoka ni full viroja!

Mike alikuwa ndo kinara wa kuponda ngoma za hovyo na zisizo na ujumbe! Ni kama Salama Jabir na Planet Bongo yake ya kukandia video! Wasanii walibadilika sana kutokana na criticism za Mike na Salama!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…