Mastaa wetu wa Kibongo mmelewa nini na jina "Lulu"

Mastaa wetu wa Kibongo mmelewa nini na jina "Lulu"

mmteule

JF-Expert Member
Joined
Oct 3, 2011
Posts
5,883
Reaction score
14,600
Mastaa wetu wa Kibongo mmelewa nini na jina "Lulu" mnatuchanganya wadau wenu. Ona hapa
1. Lulu Maiko
2. Lulu Diva
3. Lulu Semango
4. Amber Lulu
5. Aunty Lulu nk nk
Wataalam wa "Brand Name" mnasemaje kuhusu huu mtungo
 
tabia ya mtu inarndana na jina lake wote hao wanataka zinazofanana angalia jina alilopewa faru yule wabunge Walioenda msaka wakamkosa, matendo yake yanafanana na tabia ya mmiliki wa hilo jina
 
tabia ya mtu inarndana na jina lake wote hao wanataka zinazofanana angalia jina alilopewa faru yule wabunge Walioenda msaka wakamkosa, matendo yake yanafanana na tabia ya mmiliki wa hilo jina
Mkuu una Utani na wagogo/Mhe. Spika!
 
Tafuta maana ya neno Lulu, ndo utajua kwa nini wengi wao hupenda kulitumia km jina.
 
Back
Top Bottom