Master J awashushia wakenya kitu kizito kichwani

Master J awashushia wakenya kitu kizito kichwani


MY TAKE;Wakenya wameingiza mikia katikati ya mapaja, yaani wameufyata[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Ila wakenya wana inferiority complex! Na hii inajionesha dhahiri! Vitu kama mziki hakuna mtu analazimishwa kupenda. Mziki ni universal language! Kuna mtu alienda kuwalazimisha wacolombia kuipenda ule mziki wa rayvany tetema!?

Mbona kuna miziki mingi sana ya Kenya inapendwa na inahit mpaka leo? Kwa mfano hii wa furaha! Mbona umehit sana bongo na unapigwa kila kona?

Mbona kuna wanamziki wa kikenya wanamajina makubwa tu na wanaheshimika sana bongo! Sauti soul, sanaipei, na wengine wa zamani kine Prezzo, na kadhalika....

Wakenya mna insecurity nyingi sana!

Bongo kuna wasanii kama 5000 na hau mnaowasikiliza nyie hata kumi hawafiki, ina maana hao laiobaki nao walalamike kwamba wanatengwa na wakenya??

Juma nature au stamina ni wasanii wakubwa sana bongo ila sijawahi kuwasikia wanaenda kupiga show Kenya! Kwa hiyo hao walalamike kutengwa na kunyanyaswa na wakenya?

Acheni hizo!
 
Mwenyewe nimecheka sana...

Hili saga nilianza kuliona kule Nairobi Gossip Club...Kwenye Comment nilicheka sana.
Ubaya hawawezi kuacha kusikiliza. Kwenye top 10 nyimbo 6 ni Tanzania

1672069446632.png
 
Alichofanya master jay ni ubaguzi wa wazi,zile comment asingetoa mbele ya hadhira namna ile,ni ubaguzi wa wazi dhidi ya Wakenya wakati kuna WaTz wenzetu wanasaka matonge yao kupitia Kenya.
Wewe utajulia wapi mambo ya utamaduni. National interest ni muhimu mno. Alichokifanya kinatakiwa kabisa.
 
Alichofanya master jay ni ubaguzi wa wazi,zile comment asingetoa mbele ya hadhira namna ile,ni ubaguzi wa wazi dhidi ya Wakenya wakati kuna WaTz wenzetu wanasaka matonge yao kupitia Kenya.
Mkuu, wewe unawajua wakenya au unawasikia?, hawa jamaa usijaribu hata siku Moja kuwatetea, siku zote wao wanadhani wapo sahihi lakini wengine wakifanya kitu hicho hicho sio sahihi.
Sasa alichokisema Master J na walichokisema wakenya Kuna tofauti gani?, Weo walifanya na maandamano kulazimisha redio na TV stations zao kutopiga nyimbo za Tanzania


Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu, wewe unawajua wakenya au unawasikia?, hawa jamaa usijaribu hata siku Moja kuwatetea, siku zote wao wanadhani wapo sahihi lakini wengine wakifanya kitu hicho hicho sio sahihi.
Sasa alichokisema Master J na walicholichokisema wakenya Kuna tofauti gani?, Weo walifanya na maandamano kulazimisha redio na TV stations zao kutopiga nyimbo za Tanzania


Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app

Kenya wakubali wakati wao umepita hawana production zilizoko bongo kwa Sasa miaka ya nyuma tulifata studio Kenya, na hao ogopa deejays na ogopa video

Zilivuma za Uganda zinapita, zikaja Kenya, kipindi hio kina nonini , just Kali, nameless, wahu, tumewasikiliza Sana Ni wakati wa bongo Sasa hivo watulie hichi kijiti tunacho muda mrefu Sana
 
Back
Top Bottom