Master J na Shaa kufunga ndoa

Duh, 'msichana'
Kweli shaa ni 'msichana' jamani hadi sasa.?!

Maana ya neno 'msichana' ni nini haswa.?!
 
Kuna unayoyajua ambayo hatuyafahamu? No body is perfect akiwa Mrs ataacha.
Ujinga tu.... they'll hardly last a year after tht what u call wedding... si kila mtu kaumbiwa ndoa. Mark my words.
 
kuna watu wamezaliwa kuwa vyombo vya starehe tu.... kila siku twaongea lakini hawaelewi...
 
Master J ana make na watoto wakubwa tuu,labda Hugo atakua make wa pili
 
Nimeipenda bure hii style ya uchumba miaka 10
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…