Master J na Shaa kufunga ndoa

Alikuwa anaitwa P. Diddy ( kibongo bongo lakini)

Maimartha kachezea sana kichapo toka kwa P.diddy alipokua hai. Jamaa nakumbuka alifariki ghafla, alidondoka njiani na kufariki wala hakuugua.
 
Alikuwa anaitwa P. Diddy ( kibongo bongo lakini)

Maimartha kachezea sana kichapo toka kwa P.diddy alipokua hai. Jamaa nakumbuka alifariki ghafla, alidondoka njiani na kufariki wala hakuugua.
 
Amezini miaka 10!
 
Maimartha kachezea sana kichapo toka kwa P.diddy alipokua hai. Jamaa nakumbuka alifariki ghafla, alidondoka njiani na kufariki wala hakuugua.
Yeah nasikia mlio wa honi tu pale kitega uchumi Posta uliondoa maisha yake....
 
Kweli Shaa anajua 'siri ya penzi'.
Ila kiukweli huwa naona huruma sana kumuumiza mwanamke mwenzangu aliyeolewa.
Sijui anajisikiaje kuvunja ndoa ya watu.
Labda kama waliachana kabla,ila kama yeye ndiye aliyewaachanisha...My dear Shaa...hii dhambi itakutafuna milele!
 
h, post: 16542380, member: 207619"]Kweli Shaa anajua 'siri ya penzi'.
Ila kiukweli huwa naona huruma sana kumuumiza mwanamke mwenzangu aliyeolewa.
Sijui anajisikiaje kuvunja ndoa ya watu.
Labda kama waliachana kabla,ila kama yeye ndiye aliyewaachanisha...My dear Shaa...hii dhambi itakutafuna milele![/QUOTE]

Itakua alikua na mahusiano kabla ndoa haijavunjika sababu master J tangu aachane na mkewe miaka 10 bado haijafika
 
Yaaani miaka 10 tu?? Mbona fasta fasta sana iyo ndoa!!
 
Maimartha kachezea sana kichapo toka kwa P.diddy alipokua hai. Jamaa nakumbuka alifariki ghafla, alidondoka njiani na kufariki wala hakuugua.
Mpenzi wa Maimartha si alikuaga yule mtangazaji shoga wa EATV anapenda kutangaza Bolingo. Anavaa hereni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…