[emoji3]wanataka kusikia na kina Jumanne Idd wa miaka ileee sio
Hili shindano limeishiwa ufanisi kabisa.Shida ni shindano ambalo majaji hawaangalii kipaji cha mtu zaidi wao wanachanganya na mapenzi yao binafsi kwa mtu mifano ni mingi mfano yule kayumba hakua mkali kuzidi walikuwepo nyuma yake lakini alishinda kwa sbb ya Madam Rita kuona huruma
Hao wote hakuna mwenye nyimbo za maana ambayo imefika kwenye pic...Kuna watu mnajiuliza washundi wa bss wa zamani wako wapi hivi hamuwasikii kina dear god...Walter chilambo na kayumba!!!?
OkeyHao wote hakuna mwenye nyimbo za maana ambayo imefika kwenye pic...
Msanii anaibeba BSS labda Kala Jeremaya.Hakuna mwingine na hakua mshindi wa kwanza.Walter ni bingwa wa kukariri nyimbo za watu.
Aseee hivi hiyo kitu yakuitwa Bongo Staa Sechi ipogo?
Ndio mimi, kwani unateseka? 😂😂Kwani yule arifu wa chuga alishiriki na maniaje siyo wewe?
Ndio mimi, kwani unateseka? [emoji23][emoji23]
😂😂😂Siezi teseka arifu
Yani nadhani wakiona wanajisikia hovyooHili shindano limeishiwa ufanisi kabisa.
Naboeka kuona majaji ni walewale kila siku.
Wanawaacha vijana wenye vipaji mitaan wanabeba magharasa tu.
Pia kwenye swala la usahili vijana weng wenye vipaji wanakata tamaa kabla hata ya kufika kwenye usahili kwa jinsi wanavyozodolewa...Wanawakatisha tamaa totally.
Nimeangalia ile clip ya harmonize alivozodolewa kama ingelikua ni mimi na mziki ningeshaacha.Lakin jamaa hakukata tamaa leo ni msanii mkubwa Tanzania.
Poor BSS
ni kweli yule jamaa wa arusha naseeb Fonabo alimuacha kayumba mbali sanaaa.. tena jamaa alikuwa anapiga guitar... lakin akapewa Ushindi kayumba.. Saaa hivi yuko wapi!???...bss ife tuu..Shida ni shindano ambalo majaji hawaangalii kipaji cha mtu zaidi wao wanachanganya na mapenzi yao binafsi kwa mtu mifano ni mingi mfano yule kayumba hakua mkali kuzidi walikuwepo nyuma yake lakini alishinda kwa sbb ya Madam Rita kuona huruma
Ni kweli mwaka huu wamejitahidi kutoa waimbaji wazuri na wanasikika ila ulichosema ni kweli huyo mshiriki aliimba na kamkoba siku ile binafsi niliona kaimba vizuri nilishtuka kwa comment ya MJ ila nadhani ukweli anaujua labda anaongeza hasira za watu wapige zaidi kura kwa jamaa maana naona anaimba vizuri sanaHahaaaa ipo na washiriki wa mwaka huu ni wakali
Ile wanamalizana palepale kama kuna mtu amekubali kazi yake anapigiwa simu
Anaimba vzr mnooo sauti yake anaichezea atakavyo. Maybe usemacho ni kweli ila kama ni chuki basi anamuharibia sanaNi kweli mwaka huu wamejitahidi kutoa waimbaji wazuri na wanasikika ila ulichosema ni kweli huyo mshiriki aliimba na kamkoba siku ile binafsi niliona kaimba vizuri nilishtuka kwa comment ya MJ ila nadhani ukweli anaujua labda anaongeza hasira za watu wapige zaidi kura kwa jamaa maana naona anaimba vizuri sana