Master minder wa Riz 1

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011
Kuna anaemfahamu mume wa Dr Salama Kikwete? Kijana wa kichaga aliebadili dini ili afunge ndoa na mtoto wa aliekuwa raia number moja. Jamaa ni mpiga dili wa hatari, hataki ajulikane kabisa lakini yeye ndiye planner mkubwa wa familia.

hapo kwenye red ninapenda kusema kuwa Albert sio mchagga.
 
Kuna anaemfahamu mume wa Dr Salama Kikwete? Kijana wa kichaga aliebadili dini ili afunge ndoa na mtoto wa aliekuwa raia number moja. Jamaa ni mpiga dili wa hatari, hataki ajulikane kabisa lakini yeye ndiye planner mkubwa wa familia.
Anaitwa nanai vile? Ila kumbuka pia kuwa Riz Moko naye aliwakuwa na wapiga deal wa IMAAAA Advocates, so atakuwa aliambukizwa upiga deal.
 
MBUTA,MBUTA,MBUTA MLEKU Mangiii oko /ulichenji gia angani hongera sana, bigup ni fursa.
 
inawezekana aseee, mana kuna kipindi jamaa alimpangia mkewe floo nzima, pale kona ya muhimbili un rd
 
mkurya sio mchaga unahisi wachaga wanajua nn kuhusu mpnzi ww acha kukurupuka
 
Kuna anaemfahamu mume wa Dr Salama Kikwete? Kijana wa kichaga aliebadili dini ili afunge ndoa na mtoto wa aliekuwa raia number moja. Jamaa ni mpiga dili wa hatari, hataki ajulikane kabisa lakini yeye ndiye planner mkubwa wa familia.
story za vijiwe vya kahawa hizi,ndio hawa wanasema ruge ndiye mshauri wa makonda wapi na wapi
 
Kuna anaemfahamu mume wa Dr Salama Kikwete? Kijana wa kichaga aliebadili dini ili afunge ndoa na mtoto wa aliekuwa raia number moja. Jamaa ni mpiga dili wa hatari, hataki ajulikane kabisa lakini yeye ndiye planner mkubwa wa familia.


Jamani acheni visa mtu mwenye jina la mkoa wa sijuhi mara/ musoma...... awe mchagga nfikiri una agenda ya siri
 
AHAHAHAHHHAAHAA....LEO NIMEFURAHI NIMEAMUA KUCHEKA ..AHAHHAHHAHAHAAA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…