Hii inategemea upo field ip, mfano mtu wa Technical mfano IT, Eng nk anatakiwa afanye project, but ukiwa fields zingine research inahitajika, but sio field zote.Hellow wana Jamii samahani naomba kujua jambo
1. Hivi kuna utofauti gani kati ya Project na Research?
2. Je, project nayo inahitaji project proposal kama research?
3. Na vipi kuhusu kudefend project nayo inahusisha hili jambo?
Msaada kwa wale wenye kujua maana nimeapply master degree chuo flan nimeona kwenye brochure yao kua nitatakiwa kufanya project na sio research kama ambavyo tumezoea kuona watu wa masters wanafanya