Huwa ni baadhi tu ya Walimu wenye roho za kimaskini ila si Ulaya.Ndio chuo Gani hicho?
Kuna vyuo ukijichanganya tu unaweza kusoma miaka kumi humalizi
πππNdio chuo Gani hicho?
Kuna vyuo ukijichanganya tu unaweza kusoma miaka kumi humalizi
[emoji23][emoji23][emoji23]
gombana au share demu na lecture hutoboi.
Kwa UDOM AU MZUMBEUDSM kutoboa masters kwa wakati ni sawa na kubeti
Kama una options chuo kingine kimbia haraka