Masters in Education

joahjohar

Member
Joined
Oct 19, 2014
Posts
18
Reaction score
1
Habari wanafm! mm ninamdogo wangu alimaliza degreevya ualimu na aliajiriwa sasa anataka kuchukua mastaz hiyo hiyo ya edction so ni coz gani achukue? but mbaya zaidi anambia hajui kama atakubaliwa kokote coz GPA yake ni pass. Mawazo yenu jamani
 
GPA ya 2.7 vyuo vingi vinaanzia hapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…