Masters in project monitoring and evaluation

MKOBA2011

Senior Member
Joined
Jul 12, 2011
Posts
142
Reaction score
27
Wadau salama samahani kwa mtu anayejuwa chuo kinachotoa hii degree ya pili hapa bongo tujuzane
 
Sina hakika na degree ya pili ili COET- UDSM wanatoa PGD
 
Wadau salama samahani kwa mtu anayejuwa chuo kinachotoa hii degree ya pili hapa bongo tujuzane

Hiyo kozi pale COET ni gelesha tu babake, inatolewa na ki organisation kimoja kipo sinza (INFORMAC) na haitambuliki.Usije ukaingia chaka na mwendo wako wa kujimwaga. Cha kushangaza Prof. Mkandala na wenzake wamekuwa kichwa ngumuuuu na wameendelea kubariki maupuuzi yanayoendelea chuoni. Atakuwa anakatiwa fungu.

Sifa kwake ni kufukuza wanafunzi wakigoma, kumbe chanzo ni yeye..MADARAKA YATAISHA!!..KUMBUKA.

Jamani u Prof. kwa sasa ni Siasa hakuna kitu...heshima inashuka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…