Masters of International Trade at Udsm

Masters of International Trade at Udsm

etum

Member
Joined
Feb 18, 2014
Posts
70
Reaction score
51
Hii ni kozi inayotolewa kwenye shule ya biashara (Udbs) pale chuo kikuu cha dar sehemu ya mlimani VIP kama kuna mdau yeyote anaifaham vizuri kwa maana ya fursa na changamoto kwa mazingira ya Tanzania, east Africa na dunia kwa ujumla.
 
Hii ni kozi inayotolewa kwenye shule ya biashara (Udbs) pale chuo kikuu cha dar sehemu ya mlimani VIP kama kuna mdau yeyote anaifaham vizuri kwa maana ya fursa na changamoto kwa mazingira ya Tanzania, east Africa na dunia kwa ujumla.

Ni nzuri inakuandaa kuwa Trade Expert na Policy Analyst.Na utabobea kwenye business and trade negotiations zitakozokusaidia katika mijadala ya biashara za kimataifa.
 
Hii ni kozi inayotolewa kwenye shule ya biashara (Udbs) pale chuo kikuu cha dar sehemu ya mlimani VIP kama kuna mdau yeyote anaifaham vizuri kwa maana ya fursa na changamoto kwa mazingira ya Tanzania, east Africa na dunia kwa ujumla.

Ni course nzuri sana sana. Bt manufaa yake huwa yanategemea sana ulisoma degree ya nini. Km ukisoma course za business km vile finance,economics, or international trade then ukifanya masters ya international business utakuwa marketable
 
me nimesoma bcom(finance) chuo kimoja nchini Kenya in kozi ambayo niangalia kwa macho matatu
 
of course ubora wa kozi in demand yake kwenye market
 
Back
Top Bottom