Kizazi jeuri
JF-Expert Member
- May 16, 2013
- 297
- 64
Wakuu naomba msaada wenu wa mawazo kwa hili, Mtu mwenye Bachelor ya education BAED anaweza kusomea hiyo kozi ( tajwa hapo juu) na ikaja kuwa na maslahi baadae kwake?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakushauri utemebelee website ya chuo kinachotoa kozi hiyo bila shaka watakuwa wameweka vigezo. Ama kama kuna mtu anajua zaidi anaweza kukuelekeza
Aksante