dracular
JF-Expert Member
- Dec 24, 2013
- 769
- 1,069
Habari wakuu,, samahani naomba kujua gharama za kusoma! kusoma Masters ya strategic governance katika chuo cha diplomasia maana nimeangalia kwenye prospectus ya chuo hawajaweka tuition fees structure..
Lakini pia nilikuwa napenda kuuliza Je wana evening session?
Na je academic year inaanza mwezi gani?
Naomba kuwasilisha kwenu ndugu zangu
Lakini pia nilikuwa napenda kuuliza Je wana evening session?
Na je academic year inaanza mwezi gani?
Naomba kuwasilisha kwenu ndugu zangu