Masters za mwaka mmoja

Masters za mwaka mmoja

KINGSLEE

JF-Expert Member
Joined
Aug 30, 2013
Posts
830
Reaction score
1,046
Habari Wadau,

Katika pilika pilika za maisha hapa na pale nimeona Tangazo la chuo cha IAA linalosema wanatoa Masters kwa mwaka mmoja.

Naomba kuuliza wadau hii kitu imekaaje.

Je, Mamlaka husika? zimeruhusu baadhi ya vyuo kutoa Shahda ya Uzamili kwa mwaka mmoja wakati vingine vikitoa kwa miezi 18 (Miaka 2) hawaoni wataharibu/discourage watu kusoma vyuo vinavyotoa masters kwa miaka miwili.

Je, vyuo vipi vingine vinavyotoa masters kwa Mwaka mmoja kwa hapa Tanzania?
 
Kuna vyuo vinatoa degree ya Law kwa miaka minne na vingine miaka mitatu. Kuna chuo kinatoa degree ya architecture kwa miaka mitano na kingine miaka minne.

Hiyo ni kawaida. Cha msingi ujue hawawezi fanya hivyo bila TCU na wizara ya elimu kujua na kuwapa go ahead.

NB: Miezi 18 sio miaka miwili.
 
Habari Wadau,

Katika pilika pilika za maisha hapa na pale nimeona Tangazo la chuo cha IAA linalosema wanatoa Masters kwa mwaka mmoja.

Naomba kuuliza wadau hii kitu imekaaje.

Je, Mamlaka husika? zimeruhusu baadhi ya vyuo kutoa Shahda ya Uzamili kwa mwaka mmoja wakati vingine vikitoa kwa miezi 18 (Miaka 2) hawaoni wataharibu/discourage watu kusoma vyuo vinavyotoa masters kwa miaka miwili.

Je, vyuo vipi vingine vinavyotoa masters kwa Mwaka mmoja kwa hapa Tanzania?
SUA wana MPVM ya miezi 12. Cha msingi ni kukidhi vigezo vya
TCU ukiangalia malengo ya degree yenyewe. UK, USA na Europe pia zipo masters za kuanzia miezi 9 hadi 12.
 
Ni kawaida sana tu mbn, hata mamtoni zipo tele. Mbn husemi kuhusu Vyuo vingine vinatoa Bachelor Degree miaka mitatu wenigne minne, mfano LLB pale UDSM ni 4yrs lkn LLB pale Mzumbe ni 3yrs hiyo mbn hulalamiki. Elewa kila program wa level ya Universiry hapa TZ ina kibali cha TCU, hivyo shaka ondoa, nenda IAA kasome
 
Hiyo program inatolewa kwa kushirikiana na chuo cha uingereza- coventry, kinachofanyika utapewa modules nyingi uzimalize ndani ya muda mfupi, kuliko kupewa modules chache ambazo zitakuongezea muda (miaka 2). Iko hivyo, na ukihitimu utapewa cheti kinachosomeka coventry ambacho utakipeleka tcu kukihakiki kama waliosoma nje ya nchi.
 
Hiyo program inatolewa kwa kushirikiana na chuo cha uingereza- coventry, kinachofanyika utapewa modules nyingi uzimalize ndani ya muda mfupi, kuliko kupewa modules chache ambazo zitakuongezea muda (miaka 2). Iko hivyo, na ukihitimu utapewa cheti kinachosomeka coventry ambacho utakipeleka tcu kukihakiki kama waliosoma nje ya nchi.
Duh! kumbe ndio hivyoo??
 
Hiyo program inatolewa kwa kushirikiana na chuo cha uingereza- coventry, kinachofanyika utapewa modules nyingi uzimalize ndani ya muda mfupi, kuliko kupewa modules chache ambazo zitakuongezea muda (miaka 2). Iko hivyo, na ukihitimu utapewa cheti kinachosomeka coventry ambacho utakipeleka tcu kukihakiki kama waliosoma nje ya nchi.
Program na Coventry ilikwisha
 
Medicine (MD ) ni miaka mitano Tanzania, wakati huo MBchB equivalent to MD ni miaka sita Kenya. Kuna vyuo India vinatoa kozi za udaktari kwa miaka 4 lakini wore at the end of time mnakutana Aga Khan hospital kama qualified doctors
 
Hiyo program inatolewa kwa kushirikiana na chuo cha uingereza- coventry, kinachofanyika utapewa modules nyingi uzimalize ndani ya muda mfupi, kuliko kupewa modules chache ambazo zitakuongezea muda (miaka 2). Iko hivyo, na ukihitimu utapewa cheti kinachosomeka coventry ambacho utakipeleka tcu kukihakiki kama waliosoma nje ya nchi.
Kolabo na Coventry ilishaisha, sa hivi ile Master Degree wanaitoa wao wenyew IAA na iko bomba mno
 
Back
Top Bottom