Basi hata wao kusema Ni mwaka mmoja, wamekadiria tuivi Unajua Approximation method?
SUA wana MPVM ya miezi 12. Cha msingi ni kukidhi vigezo vyaHabari Wadau,
Katika pilika pilika za maisha hapa na pale nimeona Tangazo la chuo cha IAA linalosema wanatoa Masters kwa mwaka mmoja.
Naomba kuuliza wadau hii kitu imekaaje.
Je, Mamlaka husika? zimeruhusu baadhi ya vyuo kutoa Shahda ya Uzamili kwa mwaka mmoja wakati vingine vikitoa kwa miezi 18 (Miaka 2) hawaoni wataharibu/discourage watu kusoma vyuo vinavyotoa masters kwa miaka miwili.
Je, vyuo vipi vingine vinavyotoa masters kwa Mwaka mmoja kwa hapa Tanzania?
Mkuu unaweza kuelezea kivipi? Huenda ukawa msaada kwa wengi...nina mpango wa kusoma IAA.Hicho chuo huwa kiko kibiashara zaidi
Duh! kumbe ndio hivyoo??Hiyo program inatolewa kwa kushirikiana na chuo cha uingereza- coventry, kinachofanyika utapewa modules nyingi uzimalize ndani ya muda mfupi, kuliko kupewa modules chache ambazo zitakuongezea muda (miaka 2). Iko hivyo, na ukihitimu utapewa cheti kinachosomeka coventry ambacho utakipeleka tcu kukihakiki kama waliosoma nje ya nchi.
Program na Coventry ilikwishaHiyo program inatolewa kwa kushirikiana na chuo cha uingereza- coventry, kinachofanyika utapewa modules nyingi uzimalize ndani ya muda mfupi, kuliko kupewa modules chache ambazo zitakuongezea muda (miaka 2). Iko hivyo, na ukihitimu utapewa cheti kinachosomeka coventry ambacho utakipeleka tcu kukihakiki kama waliosoma nje ya nchi.
Kolabo na Coventry ilishaisha, sa hivi ile Master Degree wanaitoa wao wenyew IAA na iko bomba mnoHiyo program inatolewa kwa kushirikiana na chuo cha uingereza- coventry, kinachofanyika utapewa modules nyingi uzimalize ndani ya muda mfupi, kuliko kupewa modules chache ambazo zitakuongezea muda (miaka 2). Iko hivyo, na ukihitimu utapewa cheti kinachosomeka coventry ambacho utakipeleka tcu kukihakiki kama waliosoma nje ya nchi.
Kolabo na Coventry ilishaisha, sa hivi ile Master Degree wanaitoa wao wenyew IAA na iko bomba mno