Tajiri wa kusini
JF-Expert Member
- Nov 28, 2022
- 1,079
- 2,947
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Msaidie maana.Jaribu kutafakari tena, kipanya hana maana hiyo.
Huyu ni CCM akisubiri CHADEMA afe ili amfukie kama alivyofanya kwa NCCR na CUF. Atasubiri sana kwani CHADEMA ana mafua tu na ameandikiwa dawa tayari.Jamaa haoni mtu wa kumzika japo yeye mwenyewe yupo ukingoni mwa kaburi lakini hayupo wa kumzika.
Hiyo dawa tunasubiria hali itakuwaje Jumamosi.Huyu ni CCM akisubiri CHADEMA afe ili amfukie kama alivyofanya kwa NCCR na CUF. Atasubiri sana kwani CHADEMA ana mafua tu na amendikiwa dawa tayari.
Huyo jamaa(çcm) amechimba kaburi kwasababu ana uhakika kuna mtu(Chadema )anakufa soon...Msaidie maana.
kwamba wafu wako vitani wanatwangana mbaya sana, mzikaji yupo kaburini tayari, ameshawaandalia makao ya mwisho, kazi yake ni kufukia tu ndicho kiliyobaki 🐒Jamaa haoni mtu wa kumzika japo yeye mwenyewe yupo ukingoni mwa kaburi lakini hayupo wa kumzika.
Atasubiri sana.Huyu ni CCM akisubiri CHADEMA afe ili amfukie kama alivyofanya kwa NCCR na CUF. Atasubiri sana kwani CHADEMA ana mafua tu na ameandikiwa dawa tayari.
Acha watazikana wenyeweJamaa haoni mtu wa kumzika japo yeye mwenyewe yupo ukingoni mwa kaburi lakini hayupo wa kumzika.
Amekuambia maana yake?Jaribu kutafakari tena, kipanya hana maana hiyo.
Wapiga dili nyieCHADEMA haiwezi kufa hata siku moja.
Hapana ni Tlaatlaah ila kwenye uchimbaji walikua pamoja na Lucas Mwashambwa nadhani hapo pichani hayupo kaenda kuchukua ulanzi wachambe koo wakiendelea kusubiri.Huyo kwenye hiyo katuni sio Lucas Mwashambwa kweli?
Ni yeyeee!!! (Kwa sauti ya T.I.D)Huyo kwenye hiyo katuni sio Lucas Mwashambwa kweli?
Unataka kubisha au kujadil!Amekuambia maana yake?
Kutana na Comrade Lucas Mwashambwa katika picha..🤣🤣Jamaa haoni mtu wa kumzika japo yeye mwenyewe yupo ukingoni mwa kaburi lakini hayupo wa kumzika.