Masudi kipanya bwana!

Jamaa haoni mtu wa kumzika japo yeye mwenyewe yupo ukingoni mwa kaburi lakini hayupo wa kumzika.
kwamba wafu wako vitani wanatwangana mbaya sana, mzikaji yupo kaburini tayari, ameshawaandalia makao ya mwisho, kazi yake ni kufukia tu ndicho kiliyobaki 🐒

hiyo ni sawa na vita ya panzi tu, ambayo ni furaha na kitoeo cha kunguru...
 
Ile ajira ya buku saba inaanza lini mtaani sio kizuri wakuu🤣🤣
 
Yeye mwenyewe hajiamini,ndo maana yuko ukingoni mwa kaburi,lolote laweza tokea,ngoja tuone.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…