Masula ya huduma kwa wateja Kwa Bongo bado Tabu sana

Masula ya huduma kwa wateja Kwa Bongo bado Tabu sana

Forfofo

Senior Member
Joined
Aug 22, 2024
Posts
161
Reaction score
359
Ukiwa mtu ambae umesafiri sana nje ya nchi,nchi tofauti tofauti utaungana namimi katika hili.

Bongo mtu kaandika namba ya huduma kwenye bango, hiyo namba ukiipiga imewekwa busy au haiko active kabisa. Km imewekwa busy basi upige zaidi ya mara moja,upige hata mara tatu ndo angalau utajibiwa kwa text. Message yenyewe zaidi itauliza "Nani" au "unashida gani".

Wabongo tujifunze Costomer Care/Service. Umeweka namba Kwenye logde,inamaana ikitafutwa mojakwamoja unajua ni mteja kwenye lodge lkn bado unauliza "Shida nini" sio kwa lugha ya uteja, maana ya kuweka hyo namba hapo ni nini? Tena ni unauliza km vile ni usumbufu flani ivi kutafutwa.

Usifungue huduma/biashara kwasababu tu una mtaji kuna vingi kwenye biashara zaidi ya mtaji.
 
Piga namba za simu halmashauri za wilaya au tuma email kwenye akaunti zao uone jinsi walivyo active wale jamaa mbona utapenda.
 
Piga namba za simu halmashauri za wilaya au tuma email kwenye akaunti zao uone jinsi walivyo active wale jamaa mbona utapenda.
Ni tofauti na nilichoongelea
 
Ukiwa mtu ambae umesafiri sana nje ya nchi,nchi tofauti tofauti utaungana namimi katika hili.

Bongo mtu kaandika namba ya huduma kwenye bango, hiyo namba ukiipiga imewekwa busy au haiko active kabisa. Km imewekwa busy basi upige zaidi ya mara moja,upige hata mara tatu ndo angalau utajibiwa kwa text. Message yenyewe zaidi itauliza "Nani" au "unashida gani".

Wabongo tujifunze Costomer Care/Service. Umeweka namba Kwenye logde,inamaana ikitafutwa mojakwamoja unajua ni mteja kwenye lodge lkn bado unauliza "Shida nini" sio kwa lugha ya uteja, maana ya kuweka hyo namba hapo ni nini? Tena ni unauliza km vile ni usumbufu flani ivi kutafutwa.

Usifungue huduma/biashara kwasababu tu una mtaji kuna vingi kwenye biashara zaidi ya mtaji.
Bongo hakuna kitu kilicho proper.
 
Mtanzania hajuwi customer care

Kuna wakati muda kidogo niliendaga pale NHIF ofisi yao
Kwenye ule mgorofa mrefu,nikawa naongea na dada ehh yule dada akawa anataka niongee naye kwa kumnyenyekea nimsujudu 😄
Nlichomfanya yule dada alifurahi
Alijuta kukutana na mimi

Ova
 
Mtanzania hajuwi customer care

Kuna wakati muda kidogo niliendaga pale NHIF ofisi yao
Kwenye ule mgorofa mrefu,nikawa naongea na dada ehh yule dada akawa anataka niongee naye kwa kumnyenyekea nimsujudu 😄
Nlichomfanya yule dada alifurahi
Alijuta kukutana na mimi

Ova
Toa hyo mbinu
 
Toa hyo mbinu
Nilimwambia wewe ni fala
Mimi nataka huduma nilipie
Na pesa tunazolipia ndiyo zinawafanya nyie mnapata mshahara K--nge weee
Akanisusia...nkampandia kwa HR
wake dk 7 nyingi aliwekwa sawa,waliishia tu kusema wee mkaka mtata

Ova
 
Back
Top Bottom