Masumbwi: Jake Paul ashinda pambano dhidi ya Mkongwe Mike Tyson

Masumbwi: Jake Paul ashinda pambano dhidi ya Mkongwe Mike Tyson

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
images (43) (1).jpeg


- Jake Paul aibuka mshindi..... Score ilivyokuwa baada ya pambano.

20241116_083134.jpg

- Pambano limeishaaaaaa!

- Jake anarusha ngumi huku kama anamsubiria Mike hivi, ila Mike anaonekana kachoka, zimebaki sekubde 26

- Round ya MWISHO.

- Jake karisha punch mbili tatu mwishoni, round ya 7 imeisha. Wanafuta jasho mara ya mwisho, nani kuibuka mshindi?

- Round ya 7 imwanza, Tyson anaanza kuonesha matumaini, ila Jake kama anampa muda hivi Tyson ili amjibu.

- Round ya 6 imeisha, mapumziko

- Round ya 5, imeisha, wameanza round ya 6. Ngumi zinarishwa tu hewani kama wanazuga hivi wamalize muda

- Mpambano unaendelea sasa hivi, na sasa ni round ya 5.

20241116_083140.jpg
20241116_083157.jpg
 
Ukiangalia round dominations, utagundua kwamba kumbe age nayo inamatter! Round mbili za mwanzo Tyson kamdominate Paul, kuanzia round ya tatu Ikawa Vice verca
 
Ukiangalia round dominations, utagundua kwamba kumbe age nayo inamatter! Round mbili za mwanzo Tyson kamdominate Paul, kuanzia round ya tatu Ikawa Vice verca
Ukiachana na hilo la umri ila Mike miaka yote Raundi za mwanzo huwa ndio zake, ukifanikiwa kuzivuka una nafasi ya kumshinda.

Evander alimaster hiyo technique alimsumbua nayo tyson.
 
Jake Paul nilikua namuona kama mwehu, ila amefanya Kila jitihada kutomuaibisha Tyson, Kuna muda Tyson alikua exposed sana, it was a clear knockout, Jake amehold back either kwa ajili ya respect tu au the whole thing was rigged....


Umri haudanganyi, sa ivi wachukue kina Messi, c.ronaldo, Buffon, kaka, dinho, cafu, maldini, nesta, zidane and the likes, wacheze na timu ndogo tu hata ya championship uingereza, bado watafungwa tu
 
Jake Paul nilikua namuona kama mwehu, ila amefanya Kila jitihada kutomuaibisha Tyson, Kuna muda Tyson alikua exposed sana, it was a clear knockout, Jake amehold back either kwa ajili ya respect tu au the whole thing was rigged....


Umri haudanganyi, sa ivi wachukue kina Messi, c.ronaldo, Buffon, kaka, dinho, cafu, maldini, nesta, zidane and the likes, wacheze na timu ndogo tu hata ya championship uingereza, bado watafungwa tu
Umri ukifika umefika, unakumbuka George Foreman alirudi kwenye box akiwa na miaka 45, alianza kupata kitambi, jamaa alifanya mazoezi sana, akarudi akachukua ubingwa (world heavyweight champion) ni historia hio haikuwahi kutokea duniani kufanya hiko kwa umri huo...
 
Umri ukifika umefika, unakumbuka George Foreman alirudi kwenye box akiwa na miaka 45, alianza kupata kitambi, jamaa alifanya mazoezi sana, akarudi akachukua ubingwa (world heavyweight champion) ni historia hio haikuwahi kutokea duniani kufanya hiko kwa umri huo...
58 is just too much, boxing ni mchezo unaotumia nguvu nyingi sana, kama mtu Alisha box hata kitaa anajua Hilo, kupigana dakika 16 sio mchezo
 
58 is just too much, boxing ni mchezo unaotumia nguvu nyingi sana, kama mtu Alisha box hata kitaa anajua Hilo, kupigana dakika 16 sio mchezo
Ndio maana kapambanishwa na youtuber huyo na sio professional boxer anayewika hivi sasa...

Hakuna mtu alitegemea au bado anategemea Tyson yule kijana wa miaka 19 akipiga punching bag lililoshikiliwa na watu wawili watu wazima na wote wakipepesuka... Kwamba ndiye huyu wa sasa..

Hili pambano ni ku entertain zaidi... Sio serious fight..
 
Back
Top Bottom