Maswahiba wa Fr. Kitima SAUT waiisababishia SAUT hasara

Maswahiba wa Fr. Kitima SAUT waiisababishia SAUT hasara

comte

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2011
Posts
9,019
Reaction score
6,825
Wakati akiwa makamu mkuu wa chuo SAUT Fr. Kitima aliwalela na kuwaingiza kwenye ajira vijana aliowaamini ambao walikuja kutengeneza mchongo wa kuiba ada huku wakitoa risiti bandia za chuo. Mchongo huu ndio chanzo cha kesi iliyoamuliwa na mahakama ya rufaa na kuitalka SAUT ilipe fidia ya 30M pamoja na mambo mengine
 
Wakati akiwa makamu mkuu wa chuo SAUT Fr. Kitima aliwalela na kuwaingiza kwenye ajira vijana aliowaamini ambao walikuja kutengeneza mchongo wa kuiba ada huku wakitoa risiti bandia za chuo. Mchongo huu ndio chanzo cha kesi iliyoamuliwa na mahakama ya rufaa na kuitalka SAUT ilipe fidia ya 30M pamoja na mambo mengine
/www.mwananchi.co.tz/mw/habari/kitaifa/wanafunzi-chuo-cha-saut-wapigania-haki-miaka-12-4179748
Milioni 30 tu?
 
Back
Top Bottom