Maswahibu yanayomkuta Halima Mdee yalinikuta na Mimi, tofauti tu yeye ni Senior Mimi nilikuwa Junior

Congrats mkuu na usimuliaji mzuri sana.
Be blessed.
 
Aiseeeee nimefarijika kuona story imekua na Happy Ending,

Nimejifunza pakubwa, Ahsante sana Bro.
 
Story nzuri sana, Ila kwenye uandishi hitimisho huwa ni samarized ya kile ulichokisema tangu mwanzo na si kuendelea na story, ndiyo nijuavyo Mimi
 
Wiki ya juzi alitrend Halima Mdee na wenzake.
Wiki Jana alitrend aliyenunua gari ya milioni 460
Wiki hii anaye trend Ni kijana mmoja mwenye mikosi lukuki aliyeshindwa kuapa. Just imagine kusoma kiswahili.
Yajuwe maajabu ya Jimbo la Kilwa alikotoka Mhe. Ndulane (Mb)

Jimbo aliloshinda Mhe.
Ndulane lina sifa zake 3 za ziada;
1. Mgombea mmoja alishinda kura za maoni CCM alipitiliza na Gari hadi Baharini hadi leo hajaonekana.

2. Mgombea mwingine alishinda Ubunge lakini hakuliona Bunge hadi amefariki baada ya kupigwa upofu.

3. Mhe. Ndulane ameshinda kupitia CCM lakini alikuwa mshindi wa 3 kwenye kura za maoni.

4. Gari zote alizotumia ndulane zilinock Engine mpaka akaanza kutumia pikipiki....!
 
Hahaha kwa hiyo CEO akasema "Laura take care of THIS young boys" au siyo?

Na nyinyi mlikua wawili? Halafu ni "... THIS young boys"
....Dah, Mkuu! Yaani katika Story yoote we we umeona hili kosa tu ambalo inawezekana CEO alisema 'These' lakini labda mleta mada alisikia 'This'? Yaani katika Story nzima we we umeona hili Kosa dogo tu LA Kiufundi na hukujifunza chochote kikubwa Mkuu??? Dah![emoji853]
 
Mzee wakati naandika alikua amesema stori itaendelea.

Yaani wewe kama kuna kitu umejifunza ni umejifunza baada ya stori kuendelea muda huo nilishaandika hiyo koment na sikurudi tena mpaka ulivyoniquote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…