Maswahili Kuhusu Elimu Tanzania - (Naomba Usaidizi)

MwendaOmo

JF-Expert Member
Joined
Dec 16, 2013
Posts
774
Reaction score
723
Ndugu zangu, naomba usaidizi.

Kulikuwa na tetesi wakati fulani eti viongozi wa Tanzania walikuwa na nia ya kuanzisha mfumo wa kutumia kiingereza kama medium of instruction katika shule za msingi. Je? Mpango huu utaanza wakati gani?

Na kuna urahisi gani wa kuanzisha private school huko TZ? Najua kuna competition kali sana lakini ningependa kuskia kutoka kwa mtu ambaye amekua na maono ya kuanzisha shule, na kule alipoweza kufika.

Natanguliza shukrani
 

Ngoja nitulie kidogo halafu nikupe ninachojua
 
Nakungoja BHULULU

Na hilo jina lako laweza kuwa na maana na "Ukali" au "Uchungu?"
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…