Maswali 5 kuhusu taratibu za fedha kwenye mabenki

Maswali 5 kuhusu taratibu za fedha kwenye mabenki

kabasele

Member
Joined
Jul 26, 2012
Posts
91
Reaction score
34
Nahitaji msaada wa majibu ya maswali yafuatayo;

1.Je ni kweli kuwa siwezi kudraw zaidi ya mil 10 cash kwenye personal account?
2. Kuna kiwango ambacho nikidraw kwenye personal account nahitajika kutoa maelezo ya matumizi ya fedha hizo?
3. Kuna kiwango ambacho nikiingiziwa kwenye personal account nitatakiwa kutoa maelezo ya dhumuni la mhamala huo?
4. Kwa fedha zinazoingia kwenye personal account, huwa nachunguzwa kuhusu ulipaji kodi?
5. Kuwa na current account ni lazima niwe na biashara?

Karibuni kuchangia.
 
Back
Top Bottom