1. Nauliza kwanini Chadema waligawa chupi na sidiria?
2. Nauliza kwanini Chadema waligawa biskuti?
3. Nauliza kwa nini Chadema ( wakiongozwa za Ziito Kabwe ) walichoma bendera za CCM?
4. Nauliza pesa za kukodi chopa zimetoka wapi?
5. Nauliza kwanini Chadema walipeleka mamluki kutoka Tarime kwenda kufanya fujo?
6. Nauliza kwanini Chadema walinunua vijana kwenda kwenye mikutano ya CCM na kuzomea?
7. Nauliza kwanini viongozi wa Chadema walikuwa wakitoka matamshi ya kuchochea uvunjwaji wa amani Busanda?
Maswali haya yanatakiwa kujibiwa na wafuatao
1. Freeman Mbowe
2. Dr Wilbroad Slaa
3. Zitto Kabwe
2. Nauliza kwanini Chadema waligawa biskuti?
3. Nauliza kwa nini Chadema ( wakiongozwa za Ziito Kabwe ) walichoma bendera za CCM?
4. Nauliza pesa za kukodi chopa zimetoka wapi?
5. Nauliza kwanini Chadema walipeleka mamluki kutoka Tarime kwenda kufanya fujo?
6. Nauliza kwanini Chadema walinunua vijana kwenda kwenye mikutano ya CCM na kuzomea?
7. Nauliza kwanini viongozi wa Chadema walikuwa wakitoka matamshi ya kuchochea uvunjwaji wa amani Busanda?
Maswali haya yanatakiwa kujibiwa na wafuatao
1. Freeman Mbowe
2. Dr Wilbroad Slaa
3. Zitto Kabwe
Last edited by a moderator: