Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu ugonjwa wa kuuliza swali hilo mimi mwenyewe ninao.Mtu anakusalimia halaf anakuuliza upo?
[emoji16] huwa unajibujee?Utaniweza..?
Siku nliyokufa ... Hafu kuna jamaa akanitext " joh za hukoUtaniweza..?
Najibu hivi..[emoji16] huwa unajibujee?
Hahahaha kwa hiyo ukakomaa mpaka kikaelewekaNajibu hivi..
Kwakua we ni binaadam uliyeumbwa kwa nyama kama mm basis nitakuweza. Otherwise use robot
Hii tabia kwakweli nilikuwa siifagilia hata kidogo.Mtu anakupigia simu unaitikia hallow halafu anakwambia "Niambie" wakati yeye ndio kakupigia.
Sina tofauti Na pimbi. Harakat zangu hua hazifanikiiwi. Mwisho atauliza Heavy weight Question.Hahahaha kwa hiyo ukakomaa mpaka kikaeleweka
Tanzania hii kunawatu wanamaswali ya kijinga sana na kizushi.Mbona umebadilika sana (umekua)....? Like daaaamn, you wanted me to remain an infant forever....?.