Maswali gani ya kijinga ulishawahi kuulizwa ?

Kisai

JF-Expert Member
Joined
Apr 6, 2018
Posts
28,481
Reaction score
28,749
Mada iko wazi... Karibuni waungwana.
 
Mbona umebadilika sana (umekua)....? Like daaaamn, you wanted me to remain an infant forever....?.
Tanzania hii kunawatu wanamaswali ya kijinga sana na kizushi.

Sjui wanamatatizo ya Ubongo.

Mbona umebadilika sana..? sasa unajiuliza miaka labda mitano au kumi ham'japata kuonana,anataka ubaki vile-vile kama Jana...?
 
Baby hivi kwa mwezi unapokea kiasi gani,utasikia kakangu ana kazi kama yako yeye anachukua ***"** baby,nambie baaasi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…