Nimekua nafuatilia mijadala ya computer kwa muda mrefu , lakini kuna vitu ambavyo naona watu haswa nyie mafundi hampendi kujadili au hata kama mkiulizwa basi mnakwepa na kuwaachia watu wengine wajichanganye wakati wataalamu wenyewe mumekaa kimya
Naomba kuanzisha mada hii kwa mara ya kwanza na samahanini kwa kuanzisha mada hii sitaki kugombanisha watu , mie ni mwanafunzi nahitaji kujua .
1 ) Jinsi ya kulinda komputa yangu
2 ) Njia za kuhakiki vitu vyangu ndani ya computer
3 ) Ulinzi wa Ziada katika computer yangu
4 ) njia za kusajili computer yangu
5 ) nikiibiwa computer nifanye nini ? au njia za kufuatia
6 ) mambo mengine mengine kuhusu computer na mitandao
ndugu Oloo,
nadhani maswali yako ni mazuri sana na yako wazi kabisa...,nitajitahidi kuyajibu kwa kadri ya uwezo wangu.
swali la 1.jinsi ya kuilinda kompyuta yako..,
kwanza ni muhimu kujua unatakiwa kuilinda kompyuta kutokana na vitu gani hasa..,navyo ni:-
-wezi(wahalifu)
-hackers(software'attackers)
-viruses-(hardware and software)
-spyware's(software,advertising bots and malawares)
-Keyloggers and trojans(data miners and phishers)
-adawares and popups
-accidents(spills and accidental falls)
-matatizo mengine madogo madogo.
baada yakujaribu kutaja matatizo hayo ya kujilinda nayo nadhani itakuwa rahisi kidogo kujaribu kuelezea sasa jinsi ya kujilinda na matatizo hayo
-wezi(wahalifu)
hawa kwa kweli sio expert ya kuwaelezea sana,muhimu ni wewe tu kuwa makini.hasahasa katika matumizi ya komputer yako,kama ni laptop ya ofisi ni vizuri kuiacha ofisini mara baada ya kazi(ulinzi ni mkubwa zaidi),na kama una kazi za ziada ni vyema ukahakikisha iko katika upeo wako wa macho(hasa kwenye public transports).
hapa pia nitajibu swali lako la mwisho je iliibiwa je??ufanyeje??
wahenga husema preventation is better than cure.ni vema ukajilinda kwanza.kwa kuiweka laptop yako katika mazingira yasiyovutia wezi.kutumia laptop kwenye Bar downtown sio sehemu nzuri kabisa!!
njia rahisi ya kuweza kuipata tena laptop yako mara baada ya kuibiwa ni kui-preinstall with "hardware trackers"...,hii ndio njia bora zaidi ambayo ni rahisi zaidi kulocate hasahasa kama mwizi wako hajui mengi kuhusiana na laptop..,huduma kama hizi zinapatikana kwa large producers kama LENOVO au sony ukiwa una-customise executive laptop models..,sijui kwa upande wa Tanzania kama hilo lawezekana.
software tracker yaweza tumika pia lakini binafsi sishauri...,kwani it can easily be bypassed by well minded thief!!
-hackers
jinsi ya kujilinda na hawa jamaa ni kutumia kifaa rahisi kijulikanacho kama router(configured with a firewall)--its the best option kwa mtu asiyejua mengi kuhusu computer..,
na kama watumia laptop i suggest u get a very capable firewall like agnitum post firewall.i have suggested to be extra carefull in laptop kwani its even easier for gifted hackers to monopolise wireless connection of your laptop to get in your computer..!!
other good firewalls include zone alarm jetico etc..!!
here also remember to do something about your evil ports and tcp bondage!!especially if its an office laptop,its easily done but needs an expert to do it well..,or unless you know what your doing!!(if havent figure out how to do this i will write a separate artcle on how to accomplish this important security step)
otherwise if you are using vista i suggest u dont use administrator account for simple tasks or commonly!!
-viruses
these are easily contained if u follow their rule of thumb!!never ignore them!!hahahaaa!!that simple!!
be very strict about the type of antivirus u use..,and make sure its compatible with your system flawlessly..,
a good antivirus not only will it remove viruses,but it will also proactively stop new viruses at a high rate!!and it will be light on resourses..,meaning it wont slow donw your system..,
my suggestion comes down to only three antiviruses so far i found satisfying
NOD32,KASPERSKY,BITDEFENDER.
-spywares
just as viruses..,spyware are todays most troublesome problem for computers and internet at large..,they are so serious that they are responsible for many bad behaviours in any infected computer today...,crashe,slowdowns,blue screens,sluggishness...,its all spywares..,
give them a knockdown with a regular scan..,with at least two engines and with an online scaner!!!
here i would suggest a combination of counterspy and spyware doctor..,also spysweeper can do!!and any online scanner will do!!
-keyloggers and trojans!!
here comes a problem that any executive used to face in daily basis...,spies!!people who wants to know your whereabouts and whatabouts!!
and now its becoming a problem for anyone owning a computer and connects with the internet!!
the best way is to have a keylogger monitor as well as frequent scanner of your activities..,
two softwares will prove priceless for you...,
spybot search and destroy and hijackthis(this needs help using!!)
-spams and popups
here i mean aggresive advertisement that frequently fills your inbox..,hundreds of mails that other date 2059!!
th secret is simple..,
have a toolbar installed and use an updated browser!!i suggest firefox or a very well tuned IE7..,
and if you realy hate spammers then consider having a spam blocker and filter..(i personally use superAd blocker-its very good)
-Accident & spills
if an accident is very serious,here there is nothing you can really do..,BUT..,there is the best hope for you!!especially for accidents that are not worthy loosing your datas for!!
consider a simple laptob slip from a table..,it will definatelly lead to a crack..,BUT with well engineered laptops like THINKPADS its not worthy loosing all your datas in the hard drive..,or loosing you harddrive at all!!
well engineered computers will keep you away from simple worries..,remember they might cost a bit more expensive..,BUT dont forget experts says costs of buying a new laptop is only 20% of its whole cost!!you will eventually spend 80% in maintenace and keeping well of that laptop!!
what expensive(well engineered) laptops do,is they make you spend like 30% in buying and even less in maintenace!!
so in 5 years you might find yourself spending more for your cheaply bought than if you had bought a lillte bot expensive machine!!
-matatizo mengine madogo kama betri na hard drives failure....,i suggest you use your computer(laptop) in a heat releasing area..,like a table or wood!!,avid using it in heat traping environment for longer times like pilllows or soft sofas!!since it will only lead to heat trapped which will lead to high operating frequencies of CPU and hence..,more deterioting of battery..
about hard drives i suggest u get yourself a drive with at least 2 year warrant..if its external,and also dont forget to have backup of all your harddrive!!!very important part of protecting your data!!and as a rule of thumb...,never forget to have windows restore on!!since it can sometimes save u big time!!
if u use lucrative laptop like THINKPADS you will find yourself with lots of a lot of management softwares namely THINKVANTAGE...,if u use these carefully u will be ok..,that says if your brand comes with rescue services make use of them!!
2 ) Njia za kuhakiki vitu vyangu ndani ya computer
hili swali sijalielewa mkuu!!
3) swali lako la tatu nadhani linaweza kupata majibu hapo juu!!
4) njia za zusajili komputa zipo nyingi..,cha kuangalia ni kuwa mara unapoinunua then dont forget to visit your vendors website..,i am sure there u will get an easier gateway to registering and support!!some vendors even offer further discounts for further parts for registered computers..,vitu kama antivirus..OS..,au even printers and other peripherals..,
sure there is a lot to write!!
what about hivyo hapo juu??kama kuna maswali zaid si vibaya yakawekwa wazi kabla hatujaenda mbali!!ili tuwe pamoja!!