Maswali kuhusu advance

JURGE WALYOBA

Member
Joined
May 14, 2014
Posts
51
Reaction score
8
wana jf naomben kuuliza kuhuxu advance,nasikiaga kua advance kuna kurogana,pia hua kufundishwa ni mala moja moja ni kweli?
 
Kama unaamini Duniani kuna Kurogana basi akili yako haiko vizuri !

Swala lakufundishwa kwa Nadra be specific shule kama Marian, Feza Usitegemee uwepo wa swala hilo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…