Tunaomba umuulize mchakato wa Dual Citizenship umefikia wapi? Swali la pili Watanzania walio Nje, watapiga kura Uchaguzi wa 2010? Swali la tatu , Atatoa nafasi mbili za ubunge kwa Diasporas? kama ilivyo kwa makundi mengine maalumu, kwa lengo la kuchota utaalamu wao, market knowledge, foreign policies, na FDI's?