Baada ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kuuamuwa kutumia Helkopta 2 kuzunguka karibu nchi nzima kukusanya maoni ya Wafuasi na wasio wafuasi wake juu ya aina ya MUUNDO GANI wa KATIBA wanayo hitaji, Chama chama Pinduzi na Mwenyekiti wa Tume ya Katiba wamekuwa wakiweweseka sana na utaratibu huu unaotumiwa na Chama cha CHADEMA.
Huku CHADEMA ikijaribu kuwafikia wananchi wa chini kabisa vijijini kupata maoni yao,CCM imebakia DODOMA makao makuu ya Chama hicho kujifungia ndani na kudai kuwa pale ndipo watakapotoa maoni ya wanachama wao huku katibu wa Uenezi wa chama hicho kilicho zeeka,akiendelea KUWASHWA na CHADEMA na kufikia hatua ya kuikosoa kwa kudai kuwa njia wanayoitumia CDM (ya Helkopta) kukusanya maoni hayo haikubaliki kama kwamba yeye (Nape) ndie mwenyekiti wa Tume au Msemaji wa Tume!!
Swali kwa Jaji Warioba mwenyekiti wa tume ya Katiba!
Naomba kujuwa je Maoni ambayo tume inayataka na itakayo yapokea ni ya watu wachache au taasisi iliyoaamua kujifungia "NDANI" (km wanavyofanya CCM)na kutoa maoni yao then wanaiwasilisha kwa tume, au ni Maoni ya Watu au Taasisi iliyoamua kuzunguka nchi nzima mijini na vijijini haijalishi wanatumia Magari,Helkopta,Miguu au hata usafiri wa UNGO kuwafika walengwa km ambavyo CDM imeamua kutumia usafiri wa Helkopta ili kufanikisha lengo la kupata maoni ya watu mchanganyiko.?
Swali kwa Nape Nauye Katibu wa uenezi CCM taifa;
Je unadhani njia wanayoitumia CDM kupata maoni ya wafuasi wake na watanzania kwa ujumla itaiathirije mchakato mzima wa rasimu ya katiba mpya hadi ifikie hatua ya wewe kuwa msemaji wa Tume??
Swali la 2 kwa Nape;
Je unaweza kutueleza au kutushawishije tuamini kuwa njia mnayoitumia nyie CCM (Kukutana Dodoma) ktk kile kinachosemwa kuwa ni kupata maoni ya wana CCM ni bora zaidi kuliko wanayoitumia CDM(Kuzunguka nchi nzima)?
Swali la 3 kwa Nape;
Ikiwa nyie CCM mlisema mtazunguka nchi nzima kukusanya maoni ya wanachama wenu na hamkufanya hivyo,unataka kutuambia kwamba DODOMA ndio nchi nzima au ni kweli yametimia yale yasemwayo kuwa CCM kwa sasa haiwezi kuitisha mkutano wa watu 600 na wakajitokeza na badala yake mliona ni heri mjifungie Dodoma ili mlipane Posho then ndio mpeleke maoni ya viongozi kwa niaba ya wana CCM nchi nzima!?
Mwisho. Niombe nijulishwe kuwa kati ya wanachofanya CDM na CCM na CUF ni ipi ambayo ni njia ya wazi ktk kupata maoni ya wafuasi na wasio wafuasi wao kwa uwazi na ukweli!
Na je ktk Muongozo wa Katiba kuna kipengele kinachokataza kutumiwa kwa HELKOPTA kukusanya maoni juu ya Katiba tuitakayo,au ni kwa kuwa tu wanaotumia Helkopta ni CDM na sio CCM?
Huku CHADEMA ikijaribu kuwafikia wananchi wa chini kabisa vijijini kupata maoni yao,CCM imebakia DODOMA makao makuu ya Chama hicho kujifungia ndani na kudai kuwa pale ndipo watakapotoa maoni ya wanachama wao huku katibu wa Uenezi wa chama hicho kilicho zeeka,akiendelea KUWASHWA na CHADEMA na kufikia hatua ya kuikosoa kwa kudai kuwa njia wanayoitumia CDM (ya Helkopta) kukusanya maoni hayo haikubaliki kama kwamba yeye (Nape) ndie mwenyekiti wa Tume au Msemaji wa Tume!!
Swali kwa Jaji Warioba mwenyekiti wa tume ya Katiba!
Naomba kujuwa je Maoni ambayo tume inayataka na itakayo yapokea ni ya watu wachache au taasisi iliyoaamua kujifungia "NDANI" (km wanavyofanya CCM)na kutoa maoni yao then wanaiwasilisha kwa tume, au ni Maoni ya Watu au Taasisi iliyoamua kuzunguka nchi nzima mijini na vijijini haijalishi wanatumia Magari,Helkopta,Miguu au hata usafiri wa UNGO kuwafika walengwa km ambavyo CDM imeamua kutumia usafiri wa Helkopta ili kufanikisha lengo la kupata maoni ya watu mchanganyiko.?
Swali kwa Nape Nauye Katibu wa uenezi CCM taifa;
Je unadhani njia wanayoitumia CDM kupata maoni ya wafuasi wake na watanzania kwa ujumla itaiathirije mchakato mzima wa rasimu ya katiba mpya hadi ifikie hatua ya wewe kuwa msemaji wa Tume??
Swali la 2 kwa Nape;
Je unaweza kutueleza au kutushawishije tuamini kuwa njia mnayoitumia nyie CCM (Kukutana Dodoma) ktk kile kinachosemwa kuwa ni kupata maoni ya wana CCM ni bora zaidi kuliko wanayoitumia CDM(Kuzunguka nchi nzima)?
Swali la 3 kwa Nape;
Ikiwa nyie CCM mlisema mtazunguka nchi nzima kukusanya maoni ya wanachama wenu na hamkufanya hivyo,unataka kutuambia kwamba DODOMA ndio nchi nzima au ni kweli yametimia yale yasemwayo kuwa CCM kwa sasa haiwezi kuitisha mkutano wa watu 600 na wakajitokeza na badala yake mliona ni heri mjifungie Dodoma ili mlipane Posho then ndio mpeleke maoni ya viongozi kwa niaba ya wana CCM nchi nzima!?
Mwisho. Niombe nijulishwe kuwa kati ya wanachofanya CDM na CCM na CUF ni ipi ambayo ni njia ya wazi ktk kupata maoni ya wafuasi na wasio wafuasi wao kwa uwazi na ukweli!
Na je ktk Muongozo wa Katiba kuna kipengele kinachokataza kutumiwa kwa HELKOPTA kukusanya maoni juu ya Katiba tuitakayo,au ni kwa kuwa tu wanaotumia Helkopta ni CDM na sio CCM?