Oscar Wissa
Senior Member
- Sep 5, 2018
- 108
- 170
Maswali yafuatayo mteule anapaswa kujiuliza katika siku hizi za mwisho.
Mteule...
1. Kwanini uhangaike na chumvi ya upako wakati wewe ni chumvi ya dunia? (Math. 5:13).
2. Kwanini uhangaike na maji ya upako wakati ndani yako kuna maji yaliyo hai? (Yoh. 4:10; 7:38).
3. Kwanini uhangaike na mafuta ya upako wakati yale mafuta ya Roho Mtakatifu yanakaa ndani yako? (1 Yoh. 2:27).
4. Kwanini utoe sadaka ya kumkomboa mzaliwa wako wa kwanza wakati Yesu ndiye mzaliwa wa kwanza na ndiye anayekomboa (Ufu. 1:5, Kol. 1:15, 18, Rum. 8:29, Ebr. 1:6)
Kila mteule anapaswa kujiuliza hayo maswali, kama wewe si mteule basi hupaswi kujiuliza hayo, hadi uokoke, uwe kwanza mteule,
Kwako mteule, Biblia inasema;
Kwa maana watatokea makristo wa uongo, na manabii wa uongo, nao watatoa ishara kubwa na maajabu; wapate kuwapoteza, kama yamkini, hata walio wateule. (Uwe macho mteule)
Mathayo 24:24
Mteule...
1. Kwanini uhangaike na chumvi ya upako wakati wewe ni chumvi ya dunia? (Math. 5:13).
2. Kwanini uhangaike na maji ya upako wakati ndani yako kuna maji yaliyo hai? (Yoh. 4:10; 7:38).
3. Kwanini uhangaike na mafuta ya upako wakati yale mafuta ya Roho Mtakatifu yanakaa ndani yako? (1 Yoh. 2:27).
4. Kwanini utoe sadaka ya kumkomboa mzaliwa wako wa kwanza wakati Yesu ndiye mzaliwa wa kwanza na ndiye anayekomboa (Ufu. 1:5, Kol. 1:15, 18, Rum. 8:29, Ebr. 1:6)
Kila mteule anapaswa kujiuliza hayo maswali, kama wewe si mteule basi hupaswi kujiuliza hayo, hadi uokoke, uwe kwanza mteule,
Kwako mteule, Biblia inasema;
Kwa maana watatokea makristo wa uongo, na manabii wa uongo, nao watatoa ishara kubwa na maajabu; wapate kuwapoteza, kama yamkini, hata walio wateule. (Uwe macho mteule)
Mathayo 24:24