Alfu Lela Ulela
JF-Expert Member
- Oct 29, 2010
- 1,255
- 77
Maswali magumu kwa mulugo,
1.form six alipata ngapi?
2.ana taaluma gani na ya kiwango gani?
3.amesomea chuo gani hiyo taaluma yake?
4.alikuaje h/master akiwa na cheti cha form six tu?
5.kwnn aliiba mitihani mwla 2003 na kuharibu hatma ya maisha ya watoto maskini?
6.alipitishwaje kugombea ubunge akiwa form six leaver?
7.alikutana wapi na rais kikwete?
8.kwanini kikwete alimteua waziri huku akijua ni form six leavers?
9.kwanini hakuundiwa wizara mpya ya maji taka akapelekwa huko badala ya kupewa wizara ya elimu wakati hana elimu?
10.haoni yeye kuwa form six leaver na waziri wake (kawambwa) kuwa na phd kunafanya washindwe kucollocate wizarani?
11.haoni yeye ni chanzo cha matokeo mabovu ya kidato cha nne mwaka jana?
12.alipata wapi moral authority ya kuzifungia shule zenye waalimu form six leaver wakati nae ni form six leaver?
Mulugo naomba majibu.
1.form six alipata ngapi?
2.ana taaluma gani na ya kiwango gani?
3.amesomea chuo gani hiyo taaluma yake?
4.alikuaje h/master akiwa na cheti cha form six tu?
5.kwnn aliiba mitihani mwla 2003 na kuharibu hatma ya maisha ya watoto maskini?
6.alipitishwaje kugombea ubunge akiwa form six leaver?
7.alikutana wapi na rais kikwete?
8.kwanini kikwete alimteua waziri huku akijua ni form six leavers?
9.kwanini hakuundiwa wizara mpya ya maji taka akapelekwa huko badala ya kupewa wizara ya elimu wakati hana elimu?
10.haoni yeye kuwa form six leaver na waziri wake (kawambwa) kuwa na phd kunafanya washindwe kucollocate wizarani?
11.haoni yeye ni chanzo cha matokeo mabovu ya kidato cha nne mwaka jana?
12.alipata wapi moral authority ya kuzifungia shule zenye waalimu form six leaver wakati nae ni form six leaver?
Mulugo naomba majibu.