Uchaguzi 2020 Maswali muhimu kwa Mgombea Urais kupitia CHADEMA 2020

Uchaguzi 2020 Maswali muhimu kwa Mgombea Urais kupitia CHADEMA 2020

PAZIA 3

JF-Expert Member
Joined
Jan 30, 2018
Posts
1,102
Reaction score
1,919
Habari za leo JF experts, Naomba tumchallange mgombea uraisi Lisu maana ni member hapa JF, Mimi ninayo maswali kadhaa kwake.

1; Kwa upepo aliokuja nao, Kuna kila dalili za yeye kushinda ila pia kuna watumishi wazuri walio ndani ya CCM, Je ataweza kwenda nao au atawatupilia mbali? Maana ndiyo hofu yao

2; Ukiingia madarakani, unamwambia Nini wahitimu wa vyuo ambao hawajaajiriwa tangu 2015?

3; Ukiwa Rais, unawahakokishia nini Polisi na usalama wa taifa maana unaonekana kuwasakama Sana mpaka hata wao kukuogopa kwamba umetumwa na umoja wa mataifa, je akina IGP na wenzie utawatosa kwenye serikali yako?

4; Unawaambia Nini wajasiliamali wanaochangizwa elf 20 kwa kadi za ujasiliamali?

5; Ukiwa Rais, miladi iliyoanziashwa na serikali ya awamu ya tano utaendelea nayo au utaitosa?

6; Mambo gani utayapangua yaliyofanywa na serikali ya Magufuri hata Kama yangeleta manufaa ya baadae?

7; Vyombo vya habari visivyowaunga mkono kwa kuogopa serikali utaviadhibu ukiwa Raisi?

8; Ukiwa Rais unawahakikishia Nini wanaccm wanaotegeana kurudi upinzani kwa hofu kwamba ukishindwa wataweza kusumbuliwa na Mali zao kunyang'anywa?

9; Ukiwa Rais, unawahakikishia nini vyombo vya ulinzi na usalama hasa viongozi maana Sasa hawakuamini kwa hofu kwamba utawatosa ukishinda urais

10; Ukiwa Rais unawahakikishia Nini wananchi hasa walio vijijini walioaminishwa kwamba chama chenu ni kianzilishi cha fujo?

11; Kama familia yako itamaliza masomo huko ulaya, je wataungana na wapambanaji wengine au unaingiza barabarani familia za watu wengine?

12; Ukiwa Rais, ni kweli utaachana na Muungano wa Tanganyika na Zanzibar?

13; Unamwambia nini mwanadiplomasia Dkt. W. Slaa?

14; Utanikumbuka kwenye utawala wako mimi hapa muuliza maswali wa mitandaoni na wenzangu?

Tafadhari Sana, tunakuomba my ujibu mwenyewe hapahapa JF
 
Maswali gani haya tena!? Lissu kashasema serikali yake itakua sio ya kulipizana kisasi na atafuata utawala wa kisheria na hata mbagua mtu kwa rangi yake wala chama wala dini yake, mi nikushauri tu uondoe wasiwasi utabaki na ajira yako kama kawaida mchague Lissu!
 
maswali gani haya tena!? lissu kashasema serikali yake itakua sio ya kulipizana kisasi na atafuata utawala wa kisheria na hata mbagua mtu kwa rangi yake wala chama wala dini yake, mi nikushauri tu uondoe wasiwasi utabaki na ajira yako kama kawaida mchague lissu!
Wazaramo wanamsemo wao wanasema "zilongwa mbali zitendwa mbali"
 
Mgombea kutwa kulalamika..labda tusubiri kampeni zianze tutaskia atakachokwenda kutufanyia wananchi.
 
je akina IGP na wenzie utawatosa kwenye serikali yako?
Jibu lako analo IGP Said Mwema.
Kama kiongozi mpya yeyote atakae ingia madarakani lazima amuweke mtu anaendana nae kimuono. Ndio maana babalao alimuweka mzee wa CCTV ya Made in Tanzania 🤣.


Ndukiiiii 🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
 
Mi nimeona wamesema Bunge Live litarudi.... hiyo inanitosha!
 
lissu ni mtu wa sheria, magufuli ni PHD holder wa chemistry na maths: dunia ipo kwenye top level Technology at this time, kueka mtu wa sheria ni sawa na mchawi ambae ni kichaaa: in simple words

angalia cdm walivohandle corona na magufuli alivohandle corona utajua nan ni msomi na nani ni konda wa kupiga debe
 
Sawa, unadhani Bunge kuwa live ndo litabadili katiba iliyopo?
Kipaumbele cha kwanza cha TAL ni katiba. Amesema katiba inamfanya Rai anayekuwa madarakani awe sultan, anarundikiwa mamlaka ya kila kitu, hivyo kuwa sababu ya kukwamisha maendeleo ya nchi!
 
lissu ni mtu wa sheria, magufuli ni PHD holder wa chemistry na maths: dunia ipo kwenye top level Technology at this time, kueka mtu wa sheria ni sawa na mchawi ambae ni kichaaa: in simple words

angalia cdm walivohandle corona na magufuli alivohandle corona utajua nan ni msomi na nani ni konda wa kupiga debe
Hili la korona liache kabisa!
 
Hili la korona liache kabisa!

kuna jamaa alikua anavaa gloves nyeusi kila akifanya conference ila saaahv naona anaorganise mikutano kabisa bila hata barakao, kifupi ni kwamba huu upinzani wetu ni uchwara ama kichefu chefu
 
kuna jamaa alikua anavaa gloves nyeusi kila akifanya conference ila saaahv naona anaorganise mikutano kabisa bila hata barakao, kifupi ni kwamba huu upinzani wetu ni uchwara ama kichefu chefu
Kwahiyo?
 


KUB anamalizia mda wake kabla ya kumpisha KUB mpya JAMES MBATIA
 
Habari za leo JF experts, Naomba tumchallange mgombea uraisi Lisu maana ni member hapa JF, Mimi ninayo maswali kadhaa kwake.

1; Kwa upepo aliokuja nao, Kuna kila dalili za yeye kushinda ila pia kuna watumishi wazuri walio ndani ya CCM, Je ataweza kwenda nao au atawatupilia mbali? Maana ndiyo hofu yao

2; Ukiingia madarakani, unamwambia Nini wahitimu wa vyuo ambao hawajaajiriwa tangu 2015?

3; Ukiwa Rais, unawahakokishia nini Polisi na usalama wa taifa maana unaonekana kuwasakama Sana mpaka hata wao kukuogopa kwamba umetumwa na umoja wa mataifa, je akina IGP na wenzie utawatosa kwenye serikali yako?

4; Unawaambia Nini wajasiliamali wanaochangizwa elf 20 kwa kadi za ujasiliamali?

5; Ukiwa Rais, miladi iliyoanziashwa na serikali ya awamu ya tano utaendelea nayo au utaitosa?

6; Mambo gani utayapangua yaliyofanywa na serikali ya Magufuri hata Kama yangeleta manufaa ya baadae?

7; Vyombo vya habari visivyowaunga mkono kwa kuogopa serikali utaviadhibu ukiwa Raisi?

8; Ukiwa Rais unawahakikishia Nini wanaccm wanaotegeana kurudi upinzani kwa hofu kwamba ukishindwa wataweza kusumbuliwa na Mali zao kunyang'anywa?

9; Ukiwa Rais, unawahakikishia nini vyombo vya ulinzi na usalama hasa viongozi maana Sasa hawakuamini kwa hofu kwamba utawatosa ukishinda urais

10; Ukiwa Rais unawahakikishia Nini wananchi hasa walio vijijini walioaminishwa kwamba chama chenu ni kianzilishi cha fujo?

11; Kama familia yako itamaliza masomo huko ulaya, je wataungana na wapambanaji wengine au unaingiza barabarani familia za watu wengine?

12; Ukiwa Rais, ni kweli utaachana na Muungano wa Tanganyika na Zanzibar?

13; Unamwambia nini mwanadiplomasia Dkt. W. Slaa?

14; Utanikumbuka kwenye utawala wako mimi hapa muuliza maswali wa mitandaoni na wenzangu?

Tafadhari Sana, tunakuomba my ujibu mwenyewe hapahapa JF
Yale yote mazuri ni dhahiri yataendelezwa mabaya yatatupiliwa mbali.
 
Hayo maswali jibu lake Ni subiri siku ya kura chagua Lissu utaona Tanzania mpya isiyo na hofu Wala mashaka
 
lissu ni mtu wa sheria, magufuli ni PHD holder wa chemistry na maths: dunia ipo kwenye top level Technology at this time, kueka mtu wa sheria ni sawa na mchawi ambae ni kichaaa: in simple words

angalia cdm walivohandle corona na magufuli alivohandle corona utajua nan ni msomi na nani ni konda wa kupiga debe

Unachekesha wewe...
 
Back
Top Bottom