Wadau naombeni kunijuza juu ya ubora wa gari la aina yya TOYOTA VOLTZ imetokea kuipenda kwa ajili ya matumizi ya kawaida ofisini na binafsi.Ila nawasi wasi juu ya either ubora na uimara wake. mie naishi mabonde kuinama zaidi ya 1,500km kutoka dar.Ushauri wenu utazingatiwa san na mshukuriwe wote .
Litaje jina la eneo unaloishi na linapatikana mkoa gani wadau wakusaidie vizuri, hiyo 1500km kutoka dar ni Somalia hukoWadau naombeni kunijuza juu ya ubora wa gari la aina yya TOYOTA VOLTZ imetokea kuipenda kwa ajili ya matumizi ya kawaida ofisini na binafsi.Ila nawasi wasi juu ya either ubora na uimara wake. mie naishi mabonde kuinama zaidi ya 1,500km kutoka dar.Ushauri wenu utazingatiwa san na mshukuriwe wote .
mkuu maandiko yanasema mpende jirani yako kama unavyojipenda mwenyewe...parts ni shida...nimeiuza.
haya narrow dowm maelezo yako sasa!!Mkuu Kanga kama ni TOYOTA usiulize suala la ''ubora'' maana Toyota haziulizwi kuhusu ubora, ulizia je unywaji wa mafuta wa hiyo model ukoje ? jee spare/replacement parts zake kama oil filters,etc zinapatikana kiurahisi hapa nilipo ? jee reselling value yake ikoje kwa mfano nikishainunua baadae nikataka kubadilisha gari, itauzika kiurahisi ? jee iko designed kuhimili terrain ya barabara kama ya hapa mahali XY nilipo ?
mkuu maandiko yanasema mpende jirani yako kama unavyojipenda mwenyewe...
acha kupotosha,unataka kusema Dar- kigoma ni km ngapi? Km kutoka dar hadi Kahama ni saidi 1000km,unadhani kigoma ni km ngapi?Litaje jina la eneo unaloishi na linapatikana mkoa gani wadau wakusaidie vizuri, hiyo 1500km kutoka dar ni Somalia huko
acha kupotosha,unataka kusema Dar- kigoma ni km ngapi? Km kutoka dar hadi Kahama ni saidi 1000km,unadhani kigoma ni km ngapi?
Namaanisha ya kuwa wewe uliona parts shida mbona ulimuuzia mwenzio huoni umempa matatizo!te te te te te, ungebaki nayo tu!Wamaanisha nini Zamaulid? Kwa kweli simshauri ainunue. Ni nzuri kweli kwa nje na hata ndani, ni unique, ila usiombe ipate shida...kununua spare parts utazunguka mji mzima!
acha kupotosha,unataka kusema Dar- kigoma ni km ngapi? Km kutoka dar hadi Kahama ni saidi 1000km,unadhani kigoma ni km ngapi?
ngungwangungwa: Kutoka dar mpaka shinyanga pana umbali wa 1017.5KM, kutoka dar mpaka kigoma ni 1295KM na kutoka dar mpaka Gelib (mji upo kusini mwa somalia) kuna umbali wa 1473.3KM, ndo maana nilisema ukitembea hizo 1500KM kutoka dar kuelekea kaskazini mwa Tanzania utajikuta upo somalia. Actualy, ukitembea kutoka Dar 1500KM kuelekea upande wowote ule lazima utoke nje ya mipaka ya tanzania.acha kupotosha,unataka kusema Dar- kigoma ni km ngapi? Km kutoka dar hadi Kahama ni saidi 1000km,unadhani kigoma ni km ngapi?
Dar - Kigoma ni KM 1298 au kitu kama hicho Kahama ni around 800 na kitu hivi Bukoba ambako ni mbali ni around 1390 na kitu hivi hizo data sio accurate ila zinakariana hivyo kwahiyo hiyo 1500 Km kutoka Dar itakua either Burundi au nje ya Tanzania mana kigali ni kama around Km 1600 hivi..over
ngungwangungwa: Kutoka dar mpaka shinyanga pana umbali wa 1017.5KM, kutoka dar mpaka kigoma ni 1295KM na kutoka dar mpaka Gelib (mji upo kusini mwa somalia) kuna umbali wa 1473.3KM, ndo maana nilisema ukitembea hizo 1500KM kutoka dar kuelekea kaskazini mwa Tanzania utajikuta upo somalia. Actualy, ukitembea kutoka Dar 1500KM kuelekea upande wowote ule lazima utoke nje ya mipaka ya tanzania.
Hapana umbali utabandilika kwa either kupungua ama kuongezeka.kutoka dar to shinyanga hizo km 1017 ni kwenda kila mahali ndani ya shinyanga au mpaka shy town???ukiingia ndani ndani huko vijijini umbali utabaki huo huo km 1017???
kwa mfano dar moshi ni almost 600km je ukipanda milimani huko machame sijui marangu umbali utakuwa huo huo km 600 inayojulikana???
Hapana umbali utabandilika kwa either kupungua ama kuongezeka.
Hii itakuwa ni nje ya Tanzania hivyo wauliza wadau wa pande hizo
kutoka dar to shinyanga hizo km 1017 ni kwenda kila mahali ndani ya shinyanga au mpaka shy town???ukiingia ndani ndani huko vijijini umbali utabaki huo huo km 1017???
kwa mfano dar moshi ni almost 600km je ukipanda milimani huko machame sijui marangu umbali utakuwa huo huo km 600 inayojulikana???
Litaje jina la eneo unaloishi na linapatikana mkoa gani wadau wakusaidie vizuri, hiyo 1500km kutoka dar ni Somalia huko
Mkuu mentor tupia story moja faster..parts ni shida...nimeiuza.