Kunta Kinte
JF-Expert Member
- May 18, 2009
- 3,690
- 1,288
wanaume ujanja wanapokuanza ila ukitaka mnyamazisha anapojiweka karibu na wewe mpe kavukavu na kwa gafla NAKUPENDA uone wanavyonywea.
Kuna mkaka bishoo mtaani kwetu akiniona anajificha manake nilimuumbua kwa kumpa hiyo mbele ya marafiki zake pindi nilipoona ananizengea.
Duh mara akawa domo zege nikashindilia kama nitakavyo
Ndo umeanza hivyo????!Mpaka hapo umefeli maana sipendi mwanaume anaetia huruma!!
majibu hayo yanasababishwa na aibu tu.
mara nyingi mtu unakua hujui hukubali kwa lugha gani hasa kama ndio mara ya kwanza mtu kukutamkia na hata kama unampenda.
wanaume ujanja wanapokuanza ila ukitaka mnyamazisha anapojiweka karibu na wewe mpe kavukavu na kwa gafla NAKUPENDA uone wanavyonywea.
Kuna mkaka bishoo mtaani kwetu akiniona anajificha manake nilimuumbua kwa kumpa hiyo mbele ya marafiki zake pindi nilipoona ananizengea.
Duh mara akawa domo zege nikashindilia kama nitakavyo
Sijaanza ila nilitaka kujua kitu gani hupendi kumbe hupendi anayetia huruma tayari nina point moja, nasonga mbele.
kwa sababu tatizo sio kuwa na mtu, je, anampenda? ana furaha? na vitu kama hivyo..Code:
Enhee....endelea!
Nakushangaa sana Lizzy maana hapo unapanga kukataa lolote hata vitu vya maana ilimradi unekane kuwanimeshindwa! Mpaka nijue kama upo flexible na hauto bisha ilimradi kutafuta ushinda bali utabisha au kukataa kwa nguvu ya hoja.
Utajianda vipi kukataa kitu ambacho hukijui?
wappo wanaomaanisha hivyo vitu viwili, na wapo wanaomaanisha zaidi ya hivyo, kwa mfano unaweza ukaambiwa ni i mtu kumbe anamaanisha usubiri au tu hajakuelewa vizuri,wanawake wana mengiMsichana akisha kwambia nina mtu
Anamaanisha hivi vitu viwili
1. Ana mtu kweli
2.Hakutaki..
Sasa kama hayo ndo majibu
Maswali mengine ya kazii gani??
Unapewa majibu kama hayo ..
majibu yote ka weka straight forward
(Nina mtu) kwa nini uendelee kumuuliza
mAswali..??
Wameumbwa na haya na huruma ndio maana hawawezi kukuambia moja kwa moja kuwa sitaki kwa sababu anafahanu itakuumiza. Wegine anaweza kukubalia halafu ukapigwa tarehe mpaka mwenyewe ukanyoosha mikono juu.
Akikwambia ana mtu anakua ana maanisha tayari anapenda na kupendwa kwingine!!!
Kuhusu hiyo ya kutohitaji mtu na kama mtu anapanga kupenda au anapenda tu inahitaji maelezo zaidi.Kwanza inawezekana kabisa kumpenda mtu na usiwe nae kwasababu ya mikakati uliyojiwekea...ukielewa hilo utagundua kwamba hapo tatizo sio kupenda au kutokupenda bali ni kile kitendo cha kua na mtu!Pili wewe unapomfuata msichana kumtongoza kwasababu wewe umempenda haina maana kwamba na yeye atakua amekupenda tayari hata kama atakukubalia maana kuna uwezekano hakufahamu kiundani!!Wat wengi wanapenda kiakili
zaidi.....ajue kwanza wewe sio mume wa mtu...una kagari...umesoma...sio mlevi n.k
ndo aachie moyo wake kua huru juu yako!!
Alafu unaposema kwanini mtu asijibu tu sikutaki au sikupendi kwani hayo maswali ya kwanini hunitaki hua yanatokana na nini.???Si mnaambiwaga hapana then mnaaza kutaka sababu....nazo mkishapewa mnataka kujua sababu ya sababu mpaka mtu anaboreka.Anzeni kuchukua HAIWEZEKANI kama haiwezekani na kusonga mbele muone kama kutakua na maneno mengi.Tatizo hapa ni kwamba wale wa no means yes wataachwa sana solemba!
Akikwambia ana mtu anakua ana maanisha tayari anapenda na kupendwa kwingine!!!
Kuhusu hiyo ya kutohitaji mtu na kama mtu anapanga kupenda au anapenda tu inahitaji maelezo zaidi.Kwanza inawezekana kabisa kumpenda mtu na usiwe nae kwasababu ya mikakati uliyojiwekea...ukielewa hilo utagundua kwamba hapo tatizo sio kupenda au kutokupenda bali ni kile kitendo cha kua na mtu!Pili wewe unapomfuata msichana kumtongoza kwasababu wewe umempenda haina maana kwamba na yeye atakua amekupenda tayari hata kama atakukubalia maana kuna uwezekano hakufahamu kiundani!!Wat wengi wanapenda kiakili
zaidi.....ajue kwanza wewe sio mume wa mtu...una kagari...umesoma...sio mlevi n.k
ndo aachie moyo wake kua huru juu yako!!
Alafu unaposema kwanini mtu asijibu tu sikutaki au sikupendi kwani hayo maswali ya kwanini hunitaki hua yanatokana na nini.???Si mnaambiwaga hapana then mnaaza kutaka sababu....nazo mkishapewa mnataka kujua sababu ya sababu mpaka mtu anaboreka.Anzeni kuchukua HAIWEZEKANI kama haiwezekani na kusonga mbele muone kama kutakua na maneno mengi.Tatizo hapa ni kwamba wale wa no means yes wataachwa sana solemba!
jamani mimi kitu kinanishangaza ni haya majibu ya wanawake wanapopigwa sound au kutongozwa, kwa mfano
mwanaume; mi nataka niwe na wewe
mwanamke; nina mtu.
mwanaume; kwa hiyo?
mwanamke; ndo hivyo..
mwanaume; kwahiyo hunipendi, hunitaki?
mwanamke; sio hivyo, nimekwambia nna mtu..
kinachonishangaza:hivi kwani kinachowaweka watu pamoja ni kwa sababu hawana watu au kwa sababu wanapendana?
kwanini wanawake hawako direct?
angalia na hii;
mwanaume; nakupenda sana, nataka niwe na wewe.(na maelezo mengine mengi kama kawaida)
mwanamke; mi siko tayari
mwanaume; hauko tayari vipi yani?
mwanamke; kuwa na mtu kwa sasa..
mwanaume; kwanini
mwanamke; sijisikii tu
mwanaume; kwahiyo pendo langu unalipotezea?
mwanamke; hapana, siko tayari tu, labda mbeleni huko
mwanaume; kama hunitaki sa hivi huko mbele ndo utanitaka?
mwanamke; sio kama sikutaki, sema tu sijapanga kuwa na mtu sa hivi, huko mbele si unajua hakuna ajuaye future!!
kinachinishangaza kwanini asiseme tu, sitaki sikupendi? afu kwani m2 huwa anapanga kuwa na m2 au anafall tu!!?