Hb wa Ilala
JF-Expert Member
- Sep 23, 2015
- 1,189
- 1,217
1. Kwanini MUNGU aliumba vitu vingine asibaki yeye Tu?
2. Kwa nini Mungu Atumie Miaka Mingi Kukomboa dunia hii wakati angeweza Kuumba Nyingine?
3. Kwa nini Mungu anataka Tutoe sadaka wakati dunia na Vyote vilivyomo ni Mali Yake?
2. Kwa nini Mungu Atumie Miaka Mingi Kukomboa dunia hii wakati angeweza Kuumba Nyingine?
3. Kwa nini Mungu anataka Tutoe sadaka wakati dunia na Vyote vilivyomo ni Mali Yake?