Mc cane
JF-Expert Member
- May 18, 2018
- 5,570
- 10,517
Habari ya jumapili wakuu.
Niende kwenye mada moja kwa moja
Kuna mambo ambayo huwa najiuliza, pengine na wewe huwa unajiuliza lakini unakosa majibu au unapata majibu yasiyojitosheleza. Mambo haya yanaweza kuonekana ni ya kijinga lakini yanaweza kumsaidia mtu katika maisha yake ya kila siku.
Mimi nitauliza baadhi, hope wengine watajibu na wengine watauliza ya kwao, na wengine watajibu n.k Twende kazi
1. Hivi inabidi angalau umpigie simu mzazi, mama mkwe, baba mkwe mara ngapi kwa wiki, mwezi au mwaka?
2. Inabidi uanze kumla tena mke/mpenzi siku/miezi mingapi baada ya kujifungua?
3. Inabidi uvae ch*p* kwa muda gani kabla hujaifua tena?
4. Inabidi kumla mke/mpenzi angalau mara ngapi kwa wiki?
5. Inabidi kumpigia/kumtext mke/mpenzi mara ngapi kwa siku/wiki?
6. Inabidi kumtusua mke/mpenzi round ngapi ili aridhike?
7. Muda mzuri wa kwenda haja kubwa, ni Asubuhi, mchana, jioni au usiku?
8. Ukimtongoza Demu akakutukana au kukujibu utumbo, ukiamua kumpigia kimya,halafu baada ya mwezi analeta visalamu uchwara lengo lake linakuwa nini?
Karibuni kwa majibu na maswali zaidi.
Niende kwenye mada moja kwa moja
Kuna mambo ambayo huwa najiuliza, pengine na wewe huwa unajiuliza lakini unakosa majibu au unapata majibu yasiyojitosheleza. Mambo haya yanaweza kuonekana ni ya kijinga lakini yanaweza kumsaidia mtu katika maisha yake ya kila siku.
Mimi nitauliza baadhi, hope wengine watajibu na wengine watauliza ya kwao, na wengine watajibu n.k Twende kazi
1. Hivi inabidi angalau umpigie simu mzazi, mama mkwe, baba mkwe mara ngapi kwa wiki, mwezi au mwaka?
2. Inabidi uanze kumla tena mke/mpenzi siku/miezi mingapi baada ya kujifungua?
3. Inabidi uvae ch*p* kwa muda gani kabla hujaifua tena?
4. Inabidi kumla mke/mpenzi angalau mara ngapi kwa wiki?
5. Inabidi kumpigia/kumtext mke/mpenzi mara ngapi kwa siku/wiki?
6. Inabidi kumtusua mke/mpenzi round ngapi ili aridhike?
7. Muda mzuri wa kwenda haja kubwa, ni Asubuhi, mchana, jioni au usiku?
8. Ukimtongoza Demu akakutukana au kukujibu utumbo, ukiamua kumpigia kimya,halafu baada ya mwezi analeta visalamu uchwara lengo lake linakuwa nini?
Karibuni kwa majibu na maswali zaidi.