Maswali ya kipuuzi

Maswali ya kipuuzi

makindaOG

Member
Joined
Aug 15, 2020
Posts
11
Reaction score
14
1. SWALI:"Ni mvua inanyeshe?"

JIBU:"Hapana ni supu yamwagika"

2. SWALI:"Hiyo gazeti ni ya leo?"

JIBU:"Hapana ni gazeti yangu!"

3. MWALIMU MKUU:"Umemuona school captain?"

MWANAFUNZI:"Sikuwa namtafuta!"

4.SWALI:"Unakula?"

JIBU:"Hapana nabusu kijiko"

5.SWALI:"Unangojea lift uende juu?"

JIBU:"Hapana nangojea ofisi ishuke chini"

6.SWALI:"We ndio wa mwisho kwenye line?"

JIBU:"Hapana mi ndio wa kwanza tumesimama kinyumenyume"

7.SWALI:"Umeamkaje?"

JIBU:"Kwakufungua macho na kutoka kitandani na miguu yangu miwili!"

8.(Mama anauliza mtoto)
SWALI:"Wataka kulia enh?"


(jirani wake kamjibu)

JIBU:"Labda amechoka na kushoto"

Subscribe for morer[emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom