Maswali ya kujiuliza kuhusu madalali wa sukari Tanzania

Maswali ya kujiuliza kuhusu madalali wa sukari Tanzania

JUMA JUMA

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2013
Posts
790
Reaction score
964
MASWALI YA KUJIULIZA KUHUSU MADALALI WA SUKARI TANZANIA

Sugar Catels wamechachamaa, wanatumia kila mbinu ili wafanikiwe kubaki na 'monopoly right' ya kuamua bei ya sukari iweje nchini

Maswali ya kujiuliza;

1. Kwanini wanalipa watu mamilioni ili kujaribu kukwamisha mabadiliko ya sheria ya uingizaji wa Sukari nchini wakati kazi imewashinda?

2. Kwanini hawakuagiza sukari kwa kuzingatia 'gap sugar' kwa makusudi ili bei zipande, wao wapate faida, sisi wananchi tukiumia?

3. Kwanini wamewalipa vijana wao kuandika barua feki kwamba Waziri Bashe kajiuzulu, halafu baadae wamtumie watu kumuomba asikanushe kwamba barua ni fake?

Sisi kama wananchi Kwenye hili tunasimama na Serikali, hatupo tayari kuendelea kuumia ili kunafaisha magenge ya kinyonyaji yaliyojificha nyuma ya Mpina na wengine walionunuliwa.

Tunataka sheria zibadilishwe ili hawa wanyonyaji waache kujipangia bei, Sukari ni bidhaa muhimu kwa kila kaya, njia pekee ya kujihakikishia upatikanaji wake kwa bei nafuu ni kubadili sheria.

IMG-20240620-WA0061(2).jpg
 
MASWALI YA KUJIULIZA KUHUSU MADALALI WA SUKARI TANZANIA

Sugar Catels wamechachamaa, wanatumia kila mbinu ili wafanikiwe kubaki na 'monopoly right' ya kuamua bei ya sukari iweje nchini

Maswali ya kujiuliza;

1. Kwanini wanalipa watu mamilioni ili kujaribu kukwamisha mabadiliko ya sheria ya uingizaji wa Sukari nchini wakati kazi imewashinda?

2. Kwanini hawakuagiza sukari kwa kuzingatia 'gap sugar' kwa makusudi ili bei zipande, wao wapate faida, sisi wananchi tukiumia?

3. Kwanini wamewalipa vijana wao kuandika barua feki kwamba Waziri Bashe kajiuzulu, halafu baadae wamtumie watu kumuomba asikanushe kwamba barua ni fake?

Sisi kama wananchi Kwenye hili tunasimama na Serikali, hatupo tayari kuendelea kuumia ili kunafaisha magenge ya kinyonyaji yaliyojificha nyuma ya Mpina na wengine walionunuliwa.

Tunataka sheria zibadilishwe ili hawa wanyonyaji waache kujipangia bei, Sukari ni bidhaa muhimu kwa kila kaya, njia pekee ya kujihakikishia upatikanaji wake kwa bei nafuu ni kubadili sheria.

View attachment 3021263
Mbinu za kijinga hizi. Jibuni hoja zake na kupinga ushahidi wake. Kaonyesha kuwa waziri alidanganya tena kwa ushahidi sasa pingeni huo ushahidi spika mwenywe kaona haupingiki kaamua akomalie kadharauliwa tu ili hoja aitupe nje.
 
Mbinu za kijinga hizi. Jibuni hoja zake na kupinga ushahidi wake. Kaonyesha kuwa waziri alidanganya tena kwa ushahidi sasa pingeni huo ushahidi spika mwenywe kaona haupingiki kaamua akomalie kadharauliwa tu ili hoja aitupe nje.
Utapeli unaanzia juu kushuka chini hapa hutowakosa mapacha wa4(Rostam, JK, Makamba na Abdul)
 
MASWALI YA KUJIULIZA KUHUSU MADALALI WA SUKARI TANZANIA

Sugar Catels wamechachamaa, wanatumia kila mbinu ili wafanikiwe kubaki na 'monopoly right' ya kuamua bei ya sukari iweje nchini

Maswali ya kujiuliza;

1. Kwanini wanalipa watu mamilioni ili kujaribu kukwamisha mabadiliko ya sheria ya uingizaji wa Sukari nchini wakati kazi imewashinda?

2. Kwanini hawakuagiza sukari kwa kuzingatia 'gap sugar' kwa makusudi ili bei zipande, wao wapate faida, sisi wananchi tukiumia?

3. Kwanini wamewalipa vijana wao kuandika barua feki kwamba Waziri Bashe kajiuzulu, halafu baadae wamtumie watu kumuomba asikanushe kwamba barua ni fake?

Sisi kama wananchi Kwenye hili tunasimama na Serikali, hatupo tayari kuendelea kuumia ili kunafaisha magenge ya kinyonyaji yaliyojificha nyuma ya Mpina na wengine walionunuliwa.

Tunataka sheria zibadilishwe ili hawa wanyonyaji waache kujipangia bei, Sukari ni bidhaa muhimu kwa kila kaya, njia pekee ya kujihakikishia upatikanaji wake kwa bei nafuu ni kubadili sheria.

View attachment 3021263
Hizo screenshot peleka kwenye vikao vyenu vya kitchen party kuleta hapa ni kutukosea heshima sisi wanaume na jf pia.
 
Serikali ndiyo inelea vibaka kuanzia kwenye sukari, umeme, mafuta ya kupikia, bandarini, Atcl, nk.
Siwezi simama kamwe na serikali hii ccm inayolea mafisadi.
 
MASWALI YA KUJIULIZA KUHUSU MADALALI WA SUKARI TANZANIA

Sugar Catels wamechachamaa, wanatumia kila mbinu ili wafanikiwe kubaki na 'monopoly right' ya kuamua bei ya sukari iweje nchini

Maswali ya kujiuliza;

1. Kwanini wanalipa watu mamilioni ili kujaribu kukwamisha mabadiliko ya sheria ya uingizaji wa Sukari nchini wakati kazi imewashinda?

2. Kwanini hawakuagiza sukari kwa kuzingatia 'gap sugar' kwa makusudi ili bei zipande, wao wapate faida, sisi wananchi tukiumia?

3. Kwanini wamewalipa vijana wao kuandika barua feki kwamba Waziri Bashe kajiuzulu, halafu baadae wamtumie watu kumuomba asikanushe kwamba barua ni fake?

Sisi kama wananchi Kwenye hili tunasimama na Serikali, hatupo tayari kuendelea kuumia ili kunafaisha magenge ya kinyonyaji yaliyojificha nyuma ya Mpina na wengine walionunuliwa.

Tunataka sheria zibadilishwe ili hawa wanyonyaji waache kujipangia bei, Sukari ni bidhaa muhimu kwa kila kaya, njia pekee ya kujihakikishia upatikanaji wake kwa bei nafuu ni kubadili sheria.

View attachment 3021263
Hoja ni vibali kutolewa kwa kampuni za stationary na kampuni za cm, pathetic!
 
kampuni za upatu mnazipa tenda za mabilioni halafu nyie mbuzi ndio mnatumwa mitandaoni kusawazisha. Round hii lazima tuwatoe damu
 
Back
Top Bottom