maswali

nolakinabo

Member
Joined
Feb 5, 2012
Posts
24
Reaction score
0
jaman ndugu zangu nataka kujua hivi huwa serikali ni nani mpaka leo sielewi Mara serikali imekataza hiki majibu
 
Kuna serikali nyingi, kuna serikali ya wanafunzi ya chuo kikuu, kuna serikali ya jamuhuri ya muungano wa Tanzania, na serikali zingine.

Wewe unaulizia serikali ipi mkuu?
 
jaman nataka kujiuna na freemason tanzania wanapatikana wapi nipen namba zao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…